Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Haitambulik hiyo kisheria...
Ndo maana watu wanang'ang'ania kwenda kanisan kufunga ndoa na sio tuu kuishi kindoaaa...
Sio ya kanisani tu kibongo ukiishi na mtu mda flani mnakua ni ndoa kamili. Kuna ndoa za kimila ila zari na muwewe wana watoto wakubwa enzi hizo walikua wa ndani ila wame separate.
Okey sasa huyu ex husband ni chenga tuuuu..
anatafuta kik tumjAdil..ka hiv
Si wamejua wabongo ni bendera fata upepo mana niliona Wema anampongeza king Lawrence kuwa kapata media attention ya kutosha kwa ku post Yale sijui DNA na ile barua ya wana sheria.
Hiyo ya tiffah ni frastuation na maumivu ya Ivan kumuona Zari yuko happy wala mtoto siyo wake..
kumbe walisha talakiana basi swala ni rahisi sana..
Hiyo ya tiffah ni frastuation na maumivu ya Ivan kumuona Zari yuko happy wala mtoto siyo wake..
Hivi kwa nini wanaume hampendi kuona wanawake mliowaacha wana furaha?
Ivan awapime dna wale alionao kwanza alete majibu ndio aombe ya tiffah
Stil tunakuwa bhado tunawapenda
Pre -assumption of marriage....! Pengine Diamond amenukuliwa vibaya maana bila shaka Zari na x-husband walishakaa pamoja chini ya paa moja zaidi ya mwaka mmoja!
Labda kama alijaribu kusema Zari hana ndoa hadi sasa....na ilisha vunjwa na hata kama ilikuwa ya kimila bado itatambulika!
Kuna mazingira yanayompa ushindi Zari kuwa mtu huru lakini kusema hajawai kuwa na ndoa ni uongo labda kama hakuwai kufanya sherehe ya ndoa nitakubali!
Lakini naamini Zari na Iv walitengana na kuachana ..!
Bado Zari atamshinda huyu jamaa maana hatoweza kwenda mahakamani kuna mazingira mengi yataonesha hawako pamoja na Zari kwa sasa na yeye sidhani kama alishawai kwenda popote kujaribu kupigania mahusiano yake na Zari!
Kuumbee, basi msiwe mnatuacha kwa mbwembwe.
Okey sasa huyu ex husband ni chenga tuuuu..
anatafuta kik tumjAdil..ka hiv