Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Haitambulik hiyo kisheria...
Ndo maana watu wanang'ang'ania kwenda kanisan kufunga ndoa na sio tuu kuishi kindoaaa...
Sio ya kanisani tu kibongo ukiishi na mtu mda flani mnakua ni ndoa kamili. Kuna ndoa za kimila ila zari na muwewe wana watoto wakubwa enzi hizo walikua wa ndani ila wame separate.