Diamondplatnumz anatakiwa atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa Bongo Flavour heshima

Diamondplatnumz anatakiwa atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa Bongo Flavour heshima

Jamaa lako unalopigia chapuo lipewe PhD linabugia madawa kwa sasa. Ukiwa mpuuzi huwezi ku-notice hicho kitu ila ukweli ndio huo na soon atakuwa kama chidi benz
 
Hakuna juhudi hapo msidanganyane. Ni zali tu limemkuta enzi za teknolojia ya smartphone na kupaishwa na Davido. Lakini hana maajabu
Wachawi wengi bongo yaan mswahili unaumizwa na mafanikio ya mtu mwingine km dad@ wa buza vle [emoji3]
 
Hao wengine wakina nani? Binadamu hatuwezi kuwa sawa. Ila hilo la kusema eti diamond katambulisha muziki wetu nje ni ushabiki binafsi.
Teknolojia ndio yenye mchango mkubwa. Ashukuru amefanya muziki mapinduzi ya teknolojia yameshafanyika
Bro kuna muda unajishushia heshima bure kwa kuweka chuki mbele , unaongea pumba sana , ebu fanya mziki ww hlf tuone utafika wap ! jifunze kuheshu jitihada za watu hakuna mteremko dunian ukiona mtu katoka kuishi chumba kimoja na mama yke hadi kuish madale basi juwa anapambana ,
 
Jamaa lako unalopigia chapuo lipewe PhD linabugia madawa kwa sasa. Ukiwa mpuuzi huwezi ku-notice hicho kitu ila ukweli ndio huo na soon atakuwa kama chidi benz
Lete ushaidi na sio porojo za kijiwen
 
Hakuna juhudi hapo msidanganyane. Ni zali tu limemkuta enzi za teknolojia ya smartphone na kupaishwa na Davido. Lakini hana maajabu
Davido kashirikishwa na Wasanii wangap mbona hawajawa kama diamond tatzo kinachokusumbua ni wivu, ujinga na Umasikini
 
Sio vivu diamond platnmz hajafikia level za Michael Jackson, Bob Marley, Akon , Pi didy , Jay Z . Hawa wote hawana udakari Je diamond platnmz ana nini cha kuwazidi hawa. PhD hazitolewi kama maandazi
Umaskini na ujinga unakusumbua wewe
 
Hao wengine wakina nani? Binadamu hatuwezi kuwa sawa. Ila hilo la kusema eti diamond katambulisha muziki wetu nje ni ushabiki binafsi.
Teknolojia ndio yenye mchango mkubwa. Ashukuru amefanya muziki mapinduzi ya teknolojia yameshafanyika
Tatizo linalokusumbua wewe ni Wivu, ujinga, stress za maisha na Umaskini
 
Acha upuuz ww , mziki una madhira mengi sana sio lazima ukufungue kuhusu ngono nzembe au ukabila au udini , kuna vingi vya kufundisha , au huijui nyimbo ya ukimwona ,hujaisikia , isikilizie utaelewa mafunzo yapo kila nyimbo ila ni ukazaji bichwa lako kutaka kuamini mafunzo lazima yawe kukuambia usitembee na mwanafunzi , soma kwa bidii , usidokoe mboga jikoni au usivute mjani
Kamtunuku basi
 
Akil zako fup mno so nambie wasanii unaowajua huko burundi kufanya vizur bara la Africa , hao technolojia kwan ipo analojia ? jifunze kuheshimu jitihada za mtu , acha kutafuta sababu za kipuuz ndio maana vijana hawapigi hatua maana hamuwafundishi kujifunza kwa walifanikiwa bali mnawaua kiakili kwa kuwatajia sababu za kipuuz et teknolojia imechangia mara uchawi unasaidia au mara wanasafirosha madawa ndio maana wanatoboa , vey very weak points
Exactly
Tatzo vijana wengi wasiokuwa na mbele wala nyuma wamejawa na wivu hawapendi kuona watu wengine wakipiga step

Roho mbaya na wivu
 
Jamaa lako unalopigia chapuo lipewe PhD linabugia madawa kwa sasa. Ukiwa mpuuzi huwezi ku-notice hicho kitu ila ukweli ndio huo na soon atakuwa kama chidi benz
Roho mbaya, wivu na ujinga ndo kinachowamaliza vijana wengi siku hizi
 
Bro kuna muda unajishushia heshima bure kwa kuweka chuki mbele , unaongea pumba sana , ebu fanya mziki ww hlf tuone utafika wap ! jifunze kuheshu jitihada za watu hakuna mteremko dunian ukiona mtu katoka kuishi chumba kimoja na mama yke hadi kuish madale basi juwa anapambana ,
Huyo ana chuki na wivu ndo kinachomsumbua
 
Umaskini na ujinga unakusumbua wewe
wewe ndio mjinga Kwa uelewa wako. Unafikiri PhD inazawadiwa kama maandazi
. Kwa taarifa yako mimi sio mjinga ni exposure nimegraduate MSc kwenye bara la Asia nakaribia kwenda Asia ili ni na Full PhD
 
Back
Top Bottom