Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
PhD sio mkuyenge kwamba kila kidume lazima awe nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMnyama sanaa... Naunga mkono
Acha wivuPhD sio mkuyenge kwamba kila kidume lazima awe nao
Chuki inakusumbua wewewewe ndio mjinga Kwa uelewa wako. Unafikiri PhD inazawadiwa kama maandazi
. Kwa taarifa yako mimi sio mjinga ni exposure nimegraduate MSc kwenye bara la Asia nakaribia kwenda Asia ili ni na Full PhD
Huyu NI mdau mkubwa wa umaaluuni. Kwenye zigo remix anaongelea kumuingilia msichana kinyume na maumbile
Semeni mapinduzi ya teknolojia ndio yaliyochangia kuufanya muziki wetu usikike huko nje. Bahati nzuri huyo msanii alianza kuwika enzi ambazo tayari teknolojia ilikua imeshakua.
Ni ujinga na upumbavu kuamini kwamba eti yeye ndiye aliyeutambulisha muziki wetu
Kuna verse gani ya Mondi inaweza kutumika kufundisha fasuhi
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari