Diamondplatnumz anatakiwa atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa Bongo Flavour heshima

Mnyama sanaa... Naunga mkono
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatari
 
wewe ndio mjinga Kwa uelewa wako. Unafikiri PhD inazawadiwa kama maandazi
. Kwa taarifa yako mimi sio mjinga ni exposure nimegraduate MSc kwenye bara la Asia nakaribia kwenda Asia ili ni na Full PhD
Chuki inakusumbua wewe
 

Kwani hao wengine wapo analogy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…