Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Sasa hutaki?Mfalme = King!
Hivi kuna mfalme (king) wa kike??
Na wafuasi anao kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hutaki?Mfalme = King!
Hivi kuna mfalme (king) wa kike??
Na wafuasi anao kabisa?
Najaribu kuona kama kuna dalili za uasi wa jinsia (ushoga).Sasa hutaki?
Kwanza umeona sura yake? Kama anasonya vile.Najaribu kuona kama kuna dalili za uasi wa jinsia (ushoga).
Make haya masuala ya jinsia na kujikubali ni mtambuka sana
Nimekuelewa. Atakuwa anamaanisha kabisa kuwa yeye ni "King"Kwanza umeona sura yake? Kama anasonya vile.
Kwanini asiwe King? Acheni unaa[emoji1787]
nilivyoona wale makerubi nikajua kweli misukule kuna maajabu yatatokea kumbe pambaf kabisaMfalme zumaridi nguvu ya mungu chini ya jua..hakika utashinda dhidi ya watesi.
#MaendeleoHayanaChama
Yy mwenyewe ndie eti bwanaMfalme Zumaridi uchwara hukuoteshwa na bwana kwamba unakuja kukamatwa usepe .
Weweeeeeeeeeee acha kimlinganisha Yesu Kristu na takataka huyo Shemale wenu huna hata aibu? Yesu Kristu umfananishe na Diana Bundala nadhani wachangiaji wameshamjua mtoto wa Sunday school .
Mnalingana akili zenu, kwanza mmemezwa na madhehebu ndiyo maana mmejibu kama wafia dini.Wewe ndio mtoto wa Sunday school. Unataka kumlinganisha Yesu Kristo na Mfalme Zumaridi?. Kasome Biblia vizuri uelewe hasa kitabu Cha Isaya. Kuzaliwa kwa Yesu Kristo na kifo chake kulitabiriwa miaka mingi nyuma.
Unajua katika ulimwengu wa roho, mashetani hupenda sana kusonya.Nimekuelewa. Atakuwa anamaanisha kabisa kuwa yeye ni "King"
Wanamuonea bure,kisa imani yake,mbona waganga wa kienyeji waharibu Sana Maisha ya watu na ukusanya watu bila kibali vilingeni mwao bila taarifa, KILA mtu anao uhuru wa kuabudu.Mwachieni huyu mama, kama mnataka kukomesha uyoga wa haya makanisa ambayo mengi ni ya kitapeli basi wekeni sheria ili mtu anayetaka kuanzisha kanisa ni lazima awe na na elimu ya dini kwa kiwango cha Degree ( Degree of Theology ) kama ilivyo Rwanda na baadhi ya nchi duniani.
Huyu mama ananganga njaa mwachieni tu.
Utapeli unapimaje kwenye masuala ya kiimani.Vipi wanaowauzia maji na mafuta ya upako jeUtapeli Na udanganyofu kwa mwavuli wa huduma za kiroho.