Diana Dabo Diff

Diana Dabo Diff

Nipo mpendwa nashukuru kwa kinimiss,nilikuwa na matatizo ya ndoa tumeachana na mume sasa hivi naishi na mwanamke mwenzangu hamna tena kelele wala bugudha.Wanaume ni ugonjwa wa moyo sitaki tena.
Sasa kosa limeshakua la mwanaume?lol

I thought tatizo lilikuwa kwako kuwatamani wanawake wenzako?
 
You are my role model,nilikuwa nafikiria option ya hawa wanaume....ngoja nami nitafute mdada.....:clap2::A S thumbs_down:

Tafadhari tafakari ombi langu kwenye thread ya "chungudoa anafaa kuolewa", yaani usiku silali nikuota wewe hadi my wife ameamua kuniruhusu nikuambie tu shida yangu.
 
Nipo mpendwa nashukuru kwa kinimiss,nilikuwa na matatizo ya ndoa tumeachana na mume sasa hivi naishi na mwanamke mwenzangu hamna tena kelele wala bugudha.Wanaume ni ugonjwa wa moyo sitaki tena.

DDD unamfahamu mtu anaitwa Afande Kova,akikudaka unakula mvua thelathini ,si unajua bongo mambo hayo ni kosa la jinai?
 
Tafadhari tafakari ombi langu kwenye thread ya "chungudoa anafaa kuolewa", yaani usiku silali nikuota wewe hadi my wife ameamua kuniruhusu nikuambie tu shida yangu.

Nashukuru sana,wewe ni wa pili kuniona nafaa kuwa mke.........ila uzuri zaidi unapenda niwe mke wako wa pili na umevutwa kwa kuona avatar na sio mimi,jibu langu ni kuwa niko tayari kuolewa nawe......tunaweza zungumzia hili zaidi,asante sana,you are unique kwa kweli.
 
You are my role model,nilikuwa nafikiria option ya hawa wanaume....ngoja nami nitafute mdada.....:clap2::A S thumbs_down:

ROLE MODEL?... MAY BE ROLE DEATH! :twitch:

 
ROLE MODEL?... MAY BE ROLE DEATH! :twitch:


Ha ha ha haaaaaaaa, men who frustrate and who are careless that we get diseases are our role to death too in way!!

We will all die, just that what will kill me is not what will kill you.. but its death .......:roll::coffee:
 
Nashukuru sana,wewe ni wa pili kuniona nafaa kuwa mke.........ila uzuri zaidi unapenda niwe mke wako wa pili na umevutwa kwa kuona avatar na sio mimi,jibu langu ni kuwa niko tayari kuolewa nawe......tunaweza zungumzia hili zaidi,asante sana,you are unique kwa kweli.

Kama la toka moyoni nashukuru sana, ujue hapa ni mbele ya mashahidi, mimi sijui ku-approach gizani kwa sababu sitaki kudanganya.
Hilo la avatar.........., ........; .........&&&&&&.

Kuwa wa pili kukuona/omba haina shida si unajua kanuni ni kwamba wa "kwanza anakuwa wa mwisho na wa mwisho.................................."
 
Nipo mpendwa nashukuru kwa kinimiss,nilikuwa na matatizo ya ndoa tumeachana na mume sasa hivi naishi na mwanamke mwenzangu hamna tena kelele wala bugudha.Wanaume ni ugonjwa wa moyo sitaki tena.

Dah niko hoi no comment
 
Back
Top Bottom