Diana-dabodiff ndani ya nyumba.

Diana-dabodiff ndani ya nyumba.

Achaneni na Tigo.... haki ya nani mtaenda motoni!
basimie ntachomwa haswa maana mie natumia tiGo toka enzi zile yaitwa mobitel..Ahhh kumbe kutumia tiGo waenda motoni basi ngoja nahamie Zain
 
Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Dada yangu mpenzi DD sasa umelikoroga maana jamaa wa tigo na zantel shurti hima hima wakupeleke kwa Pilato,unasema ati wateja wao wamefulia,salalaaaaaaaaaaaa!!!!
 
Mashalllah nitakutafuta huko Mburahati Nikiwa na wangu Bellies tuone tiGo line yako najua mpaka sasa umeishajisajili....
kwenye tread ya Sed Adventures ulinieleza kwamba ulisha tongoza mwanachama wa JF ukijua ni demu kumbe ni mwanaume kisa alitumia jina la kike angalieni msije kuta Diana-dabodiff ni njemba
 
Dada yangu mpenzi DD sasa umelikoroga maana jamaa wa tigo na zantel shurti hima hima wakupeleke kwa Pilato,unasema ati wateja wao wamefulia,salalaaaaaaaaaaaa!!!!

Huu mbona ni ukweli unaojulikana kutumia mtandao wa Vodacom au Zain kuna status flani ndani ya jamii.
 
''dabo diffu?''
lazima utakuwa umefunga WEZEREE YA KUFA MTU!nitaku-pm mkuu
 
Karibu jamvini diana dabo difu. Karibu sana bibie!
 
Nimerudi upya jamvini wakuu si mnajua kupanga harusi,kuolewa, na kuanza maisha ya wawili ni shughuli kubwa.Sasa napata nafasi nitajumuika nanyi hapa.
 
Duh, jina lako tu dada, nimelipenda.

Dabo diff inaweza kumudu mzigo mzito, hivyo basi kipindi cha harusi na kadhalika ungemudu walau kuchungulia humu dada.

Karibu tena. Nakutakia maisha mema ya ndoa. I hope umeolewa na Tipper tani 7
 
Karibu triple D,karibu ndani mamaa,mbona waishia sebuleni? Karibu hadi chumbani,jisikie uko kwako.
 
Kwa DDD wewe na mimi tu wageni. Iweje mgeni amkaribishe mwenyeji?
sijakuelewa mkuu wangu,kwani ni yeye anakaribisha au ni sisi tunamkaribisha,mi naona anakaribishwa kama sisi tulivyokaribishwa.tofauti ni kwamba sisi hatukushangiliwa kama yeye.
 
Back
Top Bottom