Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
basimie ntachomwa haswa maana mie natumia tiGo toka enzi zile yaitwa mobitel..Ahhh kumbe kutumia tiGo waenda motoni basi ngoja nahamie ZainAchaneni na Tigo.... haki ya nani mtaenda motoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basimie ntachomwa haswa maana mie natumia tiGo toka enzi zile yaitwa mobitel..Ahhh kumbe kutumia tiGo waenda motoni basi ngoja nahamie ZainAchaneni na Tigo.... haki ya nani mtaenda motoni!
basimie ntachomwa haswa maana mie natumia tiGo toka enzi zile yaitwa mobitel..Ahhh kumbe kutumia tiGo waenda motoni basi ngoja nahamie Zain
jamani DDD hivi TiGo ni tusi ?mi mbona sielewiii.hebu nipeni darasa walahiKigogo hama haraka sana kampuni gani jina tusi?
Kila nipitapo huku nyuma naacha lawama tu Hehe?
Dada yangu mpenzi DD sasa umelikoroga maana jamaa wa tigo na zantel shurti hima hima wakupeleke kwa Pilato,unasema ati wateja wao wamefulia,salalaaaaaaaaaaaa!!!!Sijawahi kutumia mobitel/buzz/tigo,natumia vodacom miaka 10 na kabla ya hapo tritel,kwa sie watoto wakike ukitumia tigo au zantel unaonekana bahili au hauna kitu.
Yes,ongea mtoto wa kiume mtoto wa kike ameku challenge!Hebu ongea nikuelewe mtoto wa kiume unajiuma uma nini? nshakuambia niko vodacom.
Du! Masanilo sasa naanza kukuonea huruma,maana...................................Ongea hapahapa unaogopa nini.
KaribuNaitwa Diana lakini mtaani kwetu huku Mburuhati wananiita diana-dabodiff, nafurahi kujiunga hapa.
kwenye tread ya Sed Adventures ulinieleza kwamba ulisha tongoza mwanachama wa JF ukijua ni demu kumbe ni mwanaume kisa alitumia jina la kike angalieni msije kuta Diana-dabodiff ni njembaMashalllah nitakutafuta huko Mburahati Nikiwa na wangu Bellies tuone tiGo line yako najua mpaka sasa umeishajisajili....
Dada yangu mpenzi DD sasa umelikoroga maana jamaa wa tigo na zantel shurti hima hima wakupeleke kwa Pilato,unasema ati wateja wao wamefulia,salalaaaaaaaaaaaa!!!!
Karibu ukumbini DDDNaitwa Diana lakini mtaani kwetu huku Mburuhati wananiita diana-dabodiff, nafurahi kujiunga hapa.
karibu sana Diana.
sijakuelewa mkuu wangu,kwani ni yeye anakaribisha au ni sisi tunamkaribisha,mi naona anakaribishwa kama sisi tulivyokaribishwa.tofauti ni kwamba sisi hatukushangiliwa kama yeye.Kwa DDD wewe na mimi tu wageni. Iweje mgeni amkaribishe mwenyeji?