manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,223
Daahh npo nacheka tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me ni MwarabuDepal avatar yako tu vipini macheni mahereni Kama mhindi vile
HahahahaNa wewe tulia unaona wenzako wako kikaangoni unacheka!
[emoji23] [emoji23] Au nawe tuku-add uwe wa3.Hahahaha
Mfungo mwema,waandaa daku?Me ni Mwarabu
Mkuu pepe kale aliyemuimba hidaya alikoseaKweli wwnaume tunaibiwa kirahisi yaan picha ya MTU ambaye mathalani asilimia 95 anaweza kua sio picha yake wew huku ufungua na andiko ,, nyie ndio mnatumaga nauli msichana hata hamjamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamaliza kuandaaMfungo mwema,waandaa daku?
Ni wivu tuKweli wwnaume tunaibiwa kirahisi yaan picha ya MTU ambaye mathalani asilimia 95 anaweza kua sio picha yake wew huku ufungua na andiko ,, nyie ndio mnatumaga nauli msichana hata hamjamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakaangeni vizuri mkimaliza mnipe nionje chumvi[emoji23] [emoji23] Au nawe tuku-add uwe wa3.
Umemisiiwa sana kwa sekunde 10 tu.Wakaangeni vizuri mkimaliza mnipe nionje chumvi
😀😀😀Umemisiiwa sana kwa sekunde 10 tu.
Alimjua lakiniMkuu pepe kale aliyemuimba hidaya alikosea
[emoji23] [emoji23] Kuku wengi sana mchele mdogo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Simo,simo,simo,simo wimbo wa injili wa Nanifinancial ana fanana naka paka kangu[emoji79][emoji79]
Ndo ujue mapenzi hisiaAlimjua lakini
Umetoka karantin,🤣,wazima hukoooooAlimjua lakini
Si tulikarantiwa pamoja, unanikana umatiniUmetoka karantin,🤣,wazima hukooooo