MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
What is death? How to ignore your own death?She is so brave. Some people arent afraid of death
Actually, it's her against PKit's just her against the world.
My words actually...She is so brave. Some people arent afraid of death
Ni kweli chief, nime quote tu mistari ya bingwa Pac kwenye Me against the world.Actually, it's her against PK
HII ni SHUTUMA na TUHUMA nzito sana dhidi ya CCM HIZI comment zingine muwe mna uhakika wa Mwanasheria kabla hamjaziandikaSystem inawachezea sana watu, unakuta huyu na PK lao Moja, wanacheza sinema ili sisi na mataifa ya nje tujidanganye kua Kuna democracy!!! Ni kama huku ccm, ikifika uchaguzi utaskia Kuna vyama vya upinzani sijui 13, kumbe vyama vya ccm tu hivo
hivi yule alie aga dunia mwishoni mwaka jana ni Anne Rwigara, ee ambae nadhani ndie alikua mbishi zaidi πKuna watu huwa wakiamini kitu huwa wanaamini mwanzo mwisho.
Dada lao ameamua kumchallenge PK mara ya pili huku uchaguzi uliopita ulimuacha pabaya.
View attachment 3003704
NDIO ndio yeye Mbishi zaidihivi yule alie aga dunia mwishoni mwaka jana ni Anne Rwigara, ee ambae nadhani ndie alikua mbishi zaidi π
Alikuwa dada yake, kwao wote ni watata mpaka mama yaohivi yule alie aga dunia mwishoni mwaka jana ni Anne Rwigara, ee ambae nadhani ndie alikua mbishi zaidi π
yan umewaza kama mim. Huyu mama si wa kumchallenge pkSystem inawachezea sana watu, unakuta huyu na PK lao Moja, wanacheza sinema ili sisi na mataifa ya nje tujidanganye kua Kuna democracy!!! Ni kama huku ccm, ikifika uchaguzi utaskia Kuna vyama vya upinzani sijui 13, kumbe vyama vya ccm tu hivo
Ana Cha kupoteza gerezani amekaa yeye mama yake na marehemu dada yake ametoka kwenye familia ya kitajiri kagame kamuua baba yake ,dada yake na kupora Mali zao amekuwa na roho ya kijasiri sana ni mkosoaji mkubwa wa utawala wa Kagame Mungu amsimaie Kwa uamuzi wakeSystem inawachezea sana watu, unakuta huyu na PK lao Moja, wanacheza sinema ili sisi na mataifa ya nje tujidanganye kua Kuna democracy!!! Ni kama huku ccm, ikifika uchaguzi utaskia Kuna vyama vya upinzani sijui 13, kumbe vyama vya ccm tu hivo
Kama walishamuua dadake na bado anafanya hivi... she is more than brave, ni jasiri.She is so brave. Some people arent afraid of death
Kagame ataangushwa na Wanawake wa KinyarwandaKuna watu huwa wakiamini kitu huwa wanaamini mwanzo mwisho.
Dada lao ameamua kumchallenge PK mara ya pili huku uchaguzi uliopita ulimuacha pabaya.
View attachment 3003704