Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Unataka umtunuku hilo UA lako lililochanua?Hivi Diarra hakuja na mke Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka umtunuku hilo UA lako lililochanua?Hivi Diarra hakuja na mke Tanzania?
Nimtafutie wakati mimi nipo☺️Yuko single Mkuu....vp unataka umtafutie [emoji23][emoji23]
Hahahahaha..dahHivi Diarra hakuja na mke Tanzania?
Hahahahaha....si mchezoNimtafutie wakati mimi nipo☺️
🙄Ujana wako ule na nani uzee umalizie kwangu🤸
Hahahahaha..cha kushangaza huku bongo atashindwaAnajua, anastahili.....
Hivi we ni kijana au?Ujana wako ule na nani uzee umalizie kwangu🤸
Ashashindwa! Kazidiwa clean sheet 1 na kipa wa coastal unionHahahahaha..cha kushangaza huku bongo atashindwa
Oooh kumbeAshashindwa! Kazidiwa clean sheet 1 na kipa wa coastal union
Miaka 32 mimi ni kijanaHivi we ni kijana au?
Unataka umpe hicho ulichonacho chuchu Nazi tui linamwagikaNimtafutie wakati mimi nipo☺️
Yaan bado mbiiiiichiMiaka 32 mimi ni kijana
Anashindwaje sasa kwani hamjamuona....Djigi Diara kwenye one en two???Hahahahaha..cha kushangaza huku bongo atashindwa
Nyie watanzania huwa mna vigezo vyenu ktk mpira wa miguuAnashindwaje sasa kwani hamjamuona....Djigi Diara kwenye one en two???
Hahahahaha..tena kijana mbichi kabisa..hebu njoo lumumba hapa tupate breakfastMiaka 32 mimi ni kijana