900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mbona mabalozi wetu hamuwasemi,yaani wanakula tu kodi ya wananchi lakini hawana msada kabisa kwa wananchi huko ughaibuniNinakazia:
Naye si ni diaspora ndugu? Una maana naye hatoi pia connections?
Au niandike kwa lugha gani labda?
mbona mabalozi wetu hamuwasemi,yaani wanakula tu kodi ya wananchi lakini hawana msada kabisa kwa wananchi huko ughaibuni
Haina haja mkuu lkn ukwel ndo huo weka moyoni.omba na Mimi nisifanikiwe ktk life kama ww, nitakutafuta hata nikikukosa nitamtafuta mtoto wako nimsaidie
Tubadilike tubadilike.Kijana wa Leo anapambania kutengeneza kesho yake hvyo kuna mambo ya hapa na pale na ndo kipindi ambacho kijana anahitaji msaada.lkn Leo kijana anaomba connection za kufanya jambo Fulani tena LA maaendeleo lkn anapuuzwa
Lkn mkisikia kija huyohuyo kahalibikiwa lbda kawa panya road,mwizi,kibaka na mhuni mnaanza kusema mambo ambayo hayaeleweki mara hataki frusa mara vijana wa sikuhizi hawataki kazi yani chungu nzima,wakti mwanzo aliomba msaada lkn mkampuuza
Brother pamoja na kukaa nje naoa bado una kaushamba fulani wapi nimekwamia unitafutie chuo au kazi ebu jiheshimu toka mwanzo nimekwambia niko hapa kuchangia mada siyo kuomba msaada kwa yeyote kuwa muelewa kwa shule ulienda kusomea ujinga Ndugu.Unataka connection zaidi mzee? Nikutafutie chuo au kazi? Hata nikikutafutia hivyo kama huna uthubutu n kazi bure.
Wakenya wanaocheza green card ni mara 5 zaidi ya wabongo sababu ya uthubutu wao.
Umeshasema mdg wake marehem. We huwezi kufanya estimation kidogo ukaona mhusika atakuwaje kupitia uliyekuwa ukimfahamu?Kabisa mkuu yani tunakatishana tamaa .mfno kuna jamaa mdogo wake mfugale yy yupo USA na tyl ana uraia huko.nilipomcheki akasema life kule ngumu sana
Alfu anaanza kunitambia vitu ambavyo yy anamiliki kule kwa mda mfupi lkn nikimwambia nipe connection shida
S ndomana wengi mashoga πMkuu, tatizo watu wakisikia connection wanadhani kutafutiwa ajira, kupewa pesa ya nauli, na mahala pa kufikia.
Wabongo wengi wanapenda kitonga.
We bwana ni jirani yangu mtaa wa Ngorongoro, huwa nakuona na ile mercedes yako ukiwa unamfuata na kumpeleka mtoto shule mara mojamoja.Ni raha sana ukipata mtu wa kumlaumu, hujui tu..!!
Siku mkizinguana akutangaze nchi nzima na kwenye social media zote na marafiki zako wote! Kwamba "dume zima hata kushughulika mwenyewe na maswala yako huwezi... mwanaume suruali"Na hasa sisi wanaume tuna *OHO MBAYA SANA kusaidiana yani ni bora umweleze shida yako mwanamke atakuskiliza
Safi sana Mkuu hapa kwa wenye uhitaji wa kwenda mbele kazi kwao maneno kidogo vitendo zaidi, sasa mtu akitoa maelezo kama haya atakua amepungukiwa na kitu gani maana siyo kila mtu anajua haya mambo ni jambo jema tukishirikishana kama vijana ila wengine wanakaushamba sana.Labda nitoe sources zangu haswa kwa agricultural stream
Hao ni kama madalali, makampuni, recruiters, nk ama vyovyote unavyoweza kuwaita.... Wanaotafuta kampuni zinazokuwa na nafasi kwa ajili ya kwenda kupata training/internship. Kikawaida utaenda kwa ajili ya hizo internship kupitia J-1 Visa. Nina marafiki walioenda kupitia kampuni zote hapo, binafsi nipo kwny process ila mambo ni kupambana. Kama kuna fursa tushirikishane.
- Kuna CAEP
- Kuna waTz wanajiita Universal Career Development Pivot
- Kuna Bixter.Training
- WISE foundation
Sasa hapo mchawi keshajulikana.Acha kuongea upuuzi wewe
Nenda YouTube wakenya Diaspora wamejaza hadi video kibao.za namna ya kupata fursa nje na namna ya kwenda walivyo na roho.nzuri
Scholarship tu angalia w website ya wizara yetu ya elimu Tanzania na ulinganishe website ya wizara ya elimu.ya Kenya
Website ya Kenya imejaa matangazo ya scholaship lukuki mkenya ashindwe mwenyewe zimejaa nyingi mno
Tanzania zinafichwa
Wizara ya elimu inabania sisi wachoyo passport wachoyo kutoa na scholarship serikali kuweka wazi zote wachoyo
Wizara ya elimu kenya sio wachoyo zote wanaanika kwenye website yao
Sasa wewe kusema watanzania wavivu kivipi? Wakati serikali inaficha hsiweki wazi .Wakitoa ni scholarship chache tu kwa ku beep
Well said! Na ni kweli hawapendani hao mbwa πFid Q aliwahi kuwachana wabongo waliopo majuu.
Hapo Diaspora unambebesha lawama za buuure. Wakati hajapatiwa funds za kufanya ivyo. Wenye dhamana na funds ndio wazingaji. Inasikitisha.Acha kuongea upuuzi wewe
Nenda YouTube wakenya Diaspora wamejaza hadi video kibao.za namna ya kupata fursa nje na namna ya kwenda walivyo na roho.nzuri
Scholarship tu angalia w website ya wizara yetu ya elimu Tanzania na ulinganishe website ya wizara ya elimu.ya Kenya
Website ya Kenya imejaa matangazo ya scholaship lukuki mkenya ashindwe mwenyewe zimejaa nyingi mno
Tanzania zinafichwa
Wizara ya elimu inabania sisi wachoyo passport wachoyo kutoa na scholarship serikali kuweka wazi zote wachoyo
Wizara ya elimu kenya sio wachoyo zote wanaanika kwenye website yao
Sasa wewe kusema watanzania wavivu kivipi? Wakati serikali inaficha hsiweki wazi .Wakitoa ni scholarship chache tu kwa ku beep
Hawezi kukusaidia. Atakubabaisha tu, atakusaundisha... blah! blah! Nyingi, mwisho wa siku ataku-block ili usiende ukala mema ya nchi kama yeye. Miafrika sisi ni mijinga sana! πππππΎMkuu me nataka kuzamia huko but kwa kutumia kazi au kusoma.
Mtu aniconnect na programm ya bei nafuu yeyote kuanzia certificate mpaka masters coarse nina degree au kazi yeyote lengo sio kusoma wala kufanya kazi ni kuzamia mazima nisirudi hii nchi.
Inshort namna rahisi ya kufika tunaamini mliofika huko mna exposure labda kupitia mwaliko or whatever na wepesi wa gharama za kuingia huko na kuishi huko basi.
Brother msamehe naona dogo alitatanishwa kdogo si unajua watu wanapitia mengi ila siyo vyema kwenye maisha kumtegemea mtu ni vizuri kupambana wewe kama wewe mpaka hatua ya mwisho.πππ
Hayo ndio mawazo ya Maskini na fukara.
Sasa Kwa Akili hizi hata huyo anayewapa Watu Mafanikio atakupa kweli Mafanikio?
Msaada sio Haki yako, sio lazima.
Haki ni wewe mwenyewe kujisaidia.
Mwenye jukumu la kukusaidia ni Baba na Mama yako, full stop.
Sisi wengine ni hiyari yetu. Kama wewe ulivyo na hiyari ya kusaidia wengine.
Ni ishu ya moyo na upendo tuu.
Alafu MTU anaweza asikusaidie wewe lakini akawa anasaidia wengine, yaani asikupende wewe lakini akawa anawapenda wengine.
Hivyo hizo hasira zako ni hasira za mkizi
Hata mimi simuelewi elewi bro maneno meengiiiπππ,ila za kuhonga chini ya kapeti naambiwa anatumaπ€£π€£π€£π€£.Ngoja nampigia simu kumkazia aache kutufanya mimi na bi mkubwa watoto.Jamaa yako anakufunga kamba. Tushatuma zaidi ya hizo zimefika bila shida yeyote.
Kiwango kama hicho afanye wire transfer aende bank yake wanatuma right way to your bank account maana taayri wanajua zimeingiaje otherwise wasingezipokea.
Kama haiwezekani kutuma hela bongo hizo remittances za over 500M USD a yr diaspora tunazotuma kila mwaka tunatumaje? Jamaa yako muongo no more, no less.
Brother msamehe naona dogo alitatanishwa kdogo si unajua watu wanapitia mengi ila siyo vyema kwenye maisha kumtegemea mtu ni vizuri kupambana wewe kama wewe mpaka hatua ya mwisho.