Diaspora Hawatoi connection?

Diaspora Hawatoi connection?

Sisi tutaendelea kupokea masanduku yakirudishwa maana ubinafsi ni sumu kuvu.
 
Haina haja mkuu lkn ukwel ndo huo weka moyoni.omba na Mimi nisifanikiwe ktk life kama ww, nitakutafuta hata nikikukosa nitamtafuta mtoto wako nimsaidie

😂😂😂
Hayo ndio mawazo ya Maskini na fukara.
Sasa Kwa Akili hizi hata huyo anayewapa Watu Mafanikio atakupa kweli Mafanikio?

Msaada sio Haki yako, sio lazima.
Haki ni wewe mwenyewe kujisaidia.
Mwenye jukumu la kukusaidia ni Baba na Mama yako, full stop.

Sisi wengine ni hiyari yetu. Kama wewe ulivyo na hiyari ya kusaidia wengine.
Ni ishu ya moyo na upendo tuu.

Alafu MTU anaweza asikusaidie wewe lakini akawa anasaidia wengine, yaani asikupende wewe lakini akawa anawapenda wengine.


Hivyo hizo hasira zako ni hasira za mkizi
 
Au wanangoja uraia pacha ipate kibali ndio watakuwa free na watawekeza Tanzania pia.

By the way kwann serikali haiharakishi kuruhusu uraia pacha? Ingesaidiwa kupunguza dhiki kwa wananchi maana Disspora wengi wanataka kuwekeza hapa nchini.

Ni wakati muafaka wa hilo.
 
Kijana wa Leo anapambania kutengeneza kesho yake hvyo kuna mambo ya hapa na pale na ndo kipindi ambacho kijana anahitaji msaada.lkn Leo kijana anaomba connection za kufanya jambo Fulani tena LA maaendeleo lkn anapuuzwa
Lkn mkisikia kija huyohuyo kahalibikiwa lbda kawa panya road,mwizi,kibaka na mhuni mnaanza kusema mambo ambayo hayaeleweki mara hataki frusa mara vijana wa sikuhizi hawataki kazi yani chungu nzima,wakti mwanzo aliomba msaada lkn mkampuuza
Tubadilike tubadilike.
 
Unataka connection zaidi mzee? Nikutafutie chuo au kazi? Hata nikikutafutia hivyo kama huna uthubutu n kazi bure.

Wakenya wanaocheza green card ni mara 5 zaidi ya wabongo sababu ya uthubutu wao.
Brother pamoja na kukaa nje naoa bado una kaushamba fulani wapi nimekwamia unitafutie chuo au kazi ebu jiheshimu toka mwanzo nimekwambia niko hapa kuchangia mada siyo kuomba msaada kwa yeyote kuwa muelewa kwa shule ulienda kusomea ujinga Ndugu.
 
Kabisa mkuu yani tunakatishana tamaa .mfno kuna jamaa mdogo wake mfugale yy yupo USA na tyl ana uraia huko.nilipomcheki akasema life kule ngumu sana
Alfu anaanza kunitambia vitu ambavyo yy anamiliki kule kwa mda mfupi lkn nikimwambia nipe connection shida
Umeshasema mdg wake marehem. We huwezi kufanya estimation kidogo ukaona mhusika atakuwaje kupitia uliyekuwa ukimfahamu?

Mimi naweza mwangalia mtu nika -estimate ndugu yake atakuwaje na ni kweli huwa haitofautiani sana. Na mategemeo niliyoweka kabla sijamwona.
 
Labda nitoe sources zangu haswa kwa agricultural stream
  1. Kuna CAEP
  2. Kuna waTz wanajiita Universal Career Development Pivot
  3. Kuna Bixter.Training
  4. WISE foundation
Hao ni kama madalali, makampuni, recruiters, nk ama vyovyote unavyoweza kuwaita.... Wanaotafuta kampuni zinazokuwa na nafasi kwa ajili ya kwenda kupata training/internship. Kikawaida utaenda kwa ajili ya hizo internship kupitia J-1 Visa. Nina marafiki walioenda kupitia kampuni zote hapo, binafsi nipo kwny process ila mambo ni kupambana. Kama kuna fursa tushirikishane.
Safi sana Mkuu hapa kwa wenye uhitaji wa kwenda mbele kazi kwao maneno kidogo vitendo zaidi, sasa mtu akitoa maelezo kama haya atakua amepungukiwa na kitu gani maana siyo kila mtu anajua haya mambo ni jambo jema tukishirikishana kama vijana ila wengine wanakaushamba sana.
 
Acha kuongea upuuzi wewe

Nenda YouTube wakenya Diaspora wamejaza hadi video kibao.za namna ya kupata fursa nje na namna ya kwenda walivyo na roho.nzuri

Scholarship tu angalia w website ya wizara yetu ya elimu Tanzania na ulinganishe website ya wizara ya elimu.ya Kenya

Website ya Kenya imejaa matangazo ya scholaship lukuki mkenya ashindwe mwenyewe zimejaa nyingi mno

Tanzania zinafichwa

Wizara ya elimu inabania sisi wachoyo passport wachoyo kutoa na scholarship serikali kuweka wazi zote wachoyo

Wizara ya elimu kenya sio wachoyo zote wanaanika kwenye website yao

Sasa wewe kusema watanzania wavivu kivipi? Wakati serikali inaficha hsiweki wazi .Wakitoa ni scholarship chache tu kwa ku beep
Sasa hapo mchawi keshajulikana.
 
Acha kuongea upuuzi wewe

Nenda YouTube wakenya Diaspora wamejaza hadi video kibao.za namna ya kupata fursa nje na namna ya kwenda walivyo na roho.nzuri

Scholarship tu angalia w website ya wizara yetu ya elimu Tanzania na ulinganishe website ya wizara ya elimu.ya Kenya

Website ya Kenya imejaa matangazo ya scholaship lukuki mkenya ashindwe mwenyewe zimejaa nyingi mno

Tanzania zinafichwa

Wizara ya elimu inabania sisi wachoyo passport wachoyo kutoa na scholarship serikali kuweka wazi zote wachoyo

Wizara ya elimu kenya sio wachoyo zote wanaanika kwenye website yao

Sasa wewe kusema watanzania wavivu kivipi? Wakati serikali inaficha hsiweki wazi .Wakitoa ni scholarship chache tu kwa ku beep
Hapo Diaspora unambebesha lawama za buuure. Wakati hajapatiwa funds za kufanya ivyo. Wenye dhamana na funds ndio wazingaji. Inasikitisha.
 
Mkuu me nataka kuzamia huko but kwa kutumia kazi au kusoma.
Mtu aniconnect na programm ya bei nafuu yeyote kuanzia certificate mpaka masters coarse nina degree au kazi yeyote lengo sio kusoma wala kufanya kazi ni kuzamia mazima nisirudi hii nchi.
Inshort namna rahisi ya kufika tunaamini mliofika huko mna exposure labda kupitia mwaliko or whatever na wepesi wa gharama za kuingia huko na kuishi huko basi.
Hawezi kukusaidia. Atakubabaisha tu, atakusaundisha... blah! blah! Nyingi, mwisho wa siku ataku-block ili usiende ukala mema ya nchi kama yeye. Miafrika sisi ni mijinga sana! 😂😂😂🙌🏾
 
😂😂😂
Hayo ndio mawazo ya Maskini na fukara.
Sasa Kwa Akili hizi hata huyo anayewapa Watu Mafanikio atakupa kweli Mafanikio?

Msaada sio Haki yako, sio lazima.
Haki ni wewe mwenyewe kujisaidia.
Mwenye jukumu la kukusaidia ni Baba na Mama yako, full stop.

Sisi wengine ni hiyari yetu. Kama wewe ulivyo na hiyari ya kusaidia wengine.
Ni ishu ya moyo na upendo tuu.

Alafu MTU anaweza asikusaidie wewe lakini akawa anasaidia wengine, yaani asikupende wewe lakini akawa anawapenda wengine.


Hivyo hizo hasira zako ni hasira za mkizi
Brother msamehe naona dogo alitatanishwa kdogo si unajua watu wanapitia mengi ila siyo vyema kwenye maisha kumtegemea mtu ni vizuri kupambana wewe kama wewe mpaka hatua ya mwisho.
 
Jamaa yako anakufunga kamba. Tushatuma zaidi ya hizo zimefika bila shida yeyote.

Kiwango kama hicho afanye wire transfer aende bank yake wanatuma right way to your bank account maana taayri wanajua zimeingiaje otherwise wasingezipokea.

Kama haiwezekani kutuma hela bongo hizo remittances za over 500M USD a yr diaspora tunazotuma kila mwaka tunatumaje? Jamaa yako muongo no more, no less.
Hata mimi simuelewi elewi bro maneno meengiii😂😂😂,ila za kuhonga chini ya kapeti naambiwa anatuma🤣🤣🤣🤣.Ngoja nampigia simu kumkazia aache kutufanya mimi na bi mkubwa watoto.
 
Brother msamehe naona dogo alitatanishwa kdogo si unajua watu wanapitia mengi ila siyo vyema kwenye maisha kumtegemea mtu ni vizuri kupambana wewe kama wewe mpaka hatua ya mwisho.

Mtegemea cha Ndugu......
Mtu yeyote anayesubiri connection ni ngumu Sana kutoboa.
Mara nyingi connection zinatokeaga tuu ukiwa kwenye Line, yaani ukiwa kwenye harakati.
 
Tushaacha walaumu boss maana tumejua wengi uko mmepelekwa na baba zenu, dada zenu Kaka zenu Yani mmejikuta tu mpo ughaibuni pasipo kujua ndugu zenu wamepambanaje passport umeletewa home, Visa umeletewa home, nauli umepewa uwanja wa ndege umepelekwa uko ughaibuni ukapokelewa Sasa mtatupa connection gani mnajua nini so tumeacha walamu
 
Back
Top Bottom