Diaspora Hawatoi connection?

Diaspora Hawatoi connection?

Bongo kutamu mzee baada ya Bi mkubwa kuchukua kitengo magogoni😂🤣🤣🤣🤣 kidogo kuna ahueni.Nilikua na mpango wa kwenda Chicago kule southside Parkway gardens 6400 blocks (WIIIC City)kwenye zile project now days wanaziita O block nikaanzie aharakati huko ila mwenyeji wangu ambae ni raia wa marekani kanitisha kwa kuniambia ukweli kuhusu gang,s violence eneo analoishi ambalo mimi nitafikia kwake kukaa nikaghairi kwa mda mipango yote mkuu.

Kwani sehemu ya kufikia ni Chicago tu? Ndo maana tunasema wabongo mnawaza step 9 wakati hata step 1 hujapita, wewe pambana na visa sehemu za kufikia sio Chicago tu, USA kubwa sana. Huwezi badili plan yako kisa gang violence in Chicago unless kama hukuwa motivated to begin with.
 
27 March 2023
Balozi Tom Amolo azungumzia nafasi za zilizopo za kuingia Germany kufanya kazi mbalimbali pia fursa za elimu ktk nchi hiyo ya ulaya. Balozi amefanya mahojiano ktk video hii kwa lugha sanifu ya kiswahili


Source : Nation

N.B
SERIKALI INA RASILIMALI ZA KUTOSHA KURASIMISHA RAIA KWENDA KUCHUKUA FURSA KIHALALI NJE YA NCHI

Ni mfano mzuri wa serikali kushiriki ktk kuwatafutia raia wake fursa, kuweka makubaliano ya visa, kazi za muda mfupi na mrefu masuala ya wananchi kupata pasipoti, masomo ya lugha za kigeni kuongeza uwezekano wa kupata kazi za aina zote n.k

Nchi kama nchi ya the Philippines 🇵🇭 kwa mfano inatoa uzito unaofaa kwa mafunzo ya somo la ziada kuhusu lugha na tamaduni za nje kupitia vyuo kibao vya kama Ras Simba zinavyoratibiwa kwa karibu ubora wake na serikali ili raia wake wapate ufahamu, connections, network na wepesi wakihitimu vyuo vya VETA, UBAHARIA, UUGUZI n.k moja kwa moja wanakwenda nchi za Ulaya, Canada, Mashariki ya Kati na Australia kufanya kazi .


Hili suala la huku Tanzania mtu mmoja mmoja ktk diaspora kubebeshwa zigo la lawama wakati ilitakiwa serikali ya Tanzania iwe mstari wa mbele kuweka mazingira mazuri mikataba mizuri baina ya nchi na vyuo vyote kuwekewa
mtaala wa somo la lugha za kigeni na tamaduni za nje ili wahitimu wa Welding, makenika useremala udereva VETA, MUCHAS, UDSM, SAUT n.k wawe tayari kutimkia ngambo wakiwa wanajiamini kunyakua fursa.


Word.
 
Connection wanazotoa wakenya, wanigeria, waghana etc ni hizi hizi mnazosaidiwa hapa ila wabongo wavivu wa kufikiri na matendo pia, wanapenda kulia lia na kulalamika tu. Sasa mnataka wabongo wawalishe kwa vijiko mle na kumeza mtataka kusaidiwa na kunya sasa. Wakenya akili zao sio kama hizi za wabongo wao wako sharp kujiongeza. Kuna thread humu zaidi 100 kuhusu haya haya ya connection na diaspora, sasa kama zote hizo hazijakusaidia wewe hupaswi kwenda mamtoni kaa huko huko upambane na tozo... bila akili huku mamtoni hauishi pia utabaki kulalamika hukuhifadhiwa kwiiikwiikwiii

Mkuu asante. Hawa watu wagumu sana kuelewa sijui wanataka wasaidiwaje, kwani sisi tulifikaje tena kipindi hicho? Smh
 
Green card sio connection ujinga mtupu ilr ni bahati nasibu

Wakenya connection wanapeana ni kuambiana hapa kuna kazi moja mbili tatu kuipata fanya moja mbili tatu au kuna chio kinatoa scholarship huku.ugenini au kusoma bure fanya moja mbili tatu

Green lottery unaita connection shame on you

Although GC ni bahati nasibu wakenya wanaocheza ni mara 5 zaidi ya wabongo unadhani kwanini? Wana uthubutu.

Mbongo ukimwambi kuna GC lottery anataka umnunulie bundle acheze na hata ukinunu hilo bundle hachezi. Hamna uthubutu

Mtalalamika all you can ila hamna uthubutu mmejaa lawama tu. Hata upewe connection ya mbinguni kama huna uthubutu hutaenda.
 
Naijua vizuri sana kupata Green si rahisi sababu ni bahati nasibu na ukipata bado unahitaji connection kuwa hata uwe na pesa za tiketi bado utahitaji host wa kuku host na kukupa connection za ukifika USA kazi utapata wapi ,Social Security namba nknk
Ili ukitua tu USA mtu ajue aelekea wapi

Kupewa Green card pekee si kuwa mtu katoka bado ahitaji connection ambazi Diaspora wetu hawataki ku share

Nani alishinda GC akakosa host, nitajie mmoja tu? Story za vijiweni hizi.
 
Ndugu usijichoshe sana kujibishana na mtu jibu tayari linajulikana wabongo wazinguaji kwenye kutoa connection za majuu kama siyo uchoyo basi tunaogopana labda.

Unataka connection zaidi mzee? Nikutafutie chuo au kazi? Hata nikikutafutia hivyo kama huna uthubutu n kazi bure.

Wakenya wanaocheza green card ni mara 5 zaidi ya wabongo sababu ya uthubutu wao.
 
Labda nitoe sources zangu haswa kwa agricultural stream
  1. Kuna CAEP
  2. Kuna waTz wanajiita Universal Career Development Pivot
  3. Kuna Bixter.Training
  4. WISE foundation
Hao ni kama madalali, makampuni, recruiters, nk ama vyovyote unavyoweza kuwaita.... Wanaotafuta kampuni zinazokuwa na nafasi kwa ajili ya kwenda kupata training/internship. Kikawaida utaenda kwa ajili ya hizo internship kupitia J-1 Visa. Nina marafiki walioenda kupitia kampuni zote hapo, binafsi nipo kwny process ila mambo ni kupambana. Kama kuna fursa tushirikishane.

👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
 
Mdau huyo mwana wa kuitwa @ Bufa alikuambia uwe shoga ndio uende marekani🤣🤣🤣🤣😂😂😂??????Yeye anakaa state ipi??????? Nitafute nikupe connection za wana wapo Chicago na Huston city Texas wanaweza kukupa maelezo yaliyonyooka mkuu.Usikate tamaa kama ipo basi ipo tu.

Nilimwambia atoe ushahidi wa mimi kuwasiliana nae kabla ya leo kaishia kuranda randa tu na kubwabwaja nonsense.

Hivi kuna visa special ya mashoga? Mambo mengine ni uzwazwa hata kuyawaza tu, they don't add up.
 
Wana wanaishi kininja sometimes😂😂😂 USA sema ukitusua basi umetusua kweli.Lakini serikali ya USA inazingua sana kuhusu kutuma hela nyumbani,process ndeefu sana.

Hizi story mnatoa wapi? Kuna apps zaidi ya 100 za kutuma hela bongo form NALA ya mbongo kabisa, Sendwave, worldremmit, remitly, WE, moneygram, bank2bank (wire transfer). Hamna usumbufu wowote, I wonder hizi story mnazitoaga wapi ndo maana nasema mnasikiliza sana story za vijiweni na hamna uthubutu.
 
Hizi story mnatoa wapi? Kuna apps zaidi ya 100 za kutuma hela bongo form NALA ya mbongo kabisa, Sendwave, worldremmit, remitly, WE, moneygram, bank2bank (wire transfer). Hamna usumbufu wowote, I wonder hizi story mnazitoaga wapi ndo maana nasema mnasikiliza sana story za vijiweni na hamna uthubutu.
Em niambie zaidi kuhusu NALA, ushawahi itumia?
Process za kujisajili na kutuma hela, rates zao, usalama na kufika kwa wakati..
Ipo vipi
 
Em niambie zaidi kuhusu NALA, ushawahi itumia?
Process za kujisajili na kutuma hela, rates zao, usalama na kufika kwa wakati..
Ipo vipi

Sijawahi kutumia NALA ila I believe itakua on the same spectrum kama washindani wake in terms of security na a competitive rate.

Natumia sendwave na remitly kila siku I mean kila siku ya Mungu, hela inainga bongo in your mobile wallet instantly, no issues whatsoever. Sasa huyu Nelson Jacob lushasi anayesema kutuma hela bongo kutoka US ni kazi hizi story anazitoa wapi? Watu wanasikiliza sana story za vijiweni.
 
Kwani sehemu ya kufikia ni Chicago tu? Ndo maana tunasema wabongo mnawaza step 9 wakati hata step 1 hujapita, wewe pambana na visa sehemu za kufikia sio Chicago tu, USA kubwa sana. Huwezi badili plan yako kisa gang violence in Chicago unless kama hukuwa motivated to begin with.
Huko ndiko nina mwenyeji mkuu.
 
Back
Top Bottom