Ndugu usijichoshe sana kujibishana na mtu jibu tayari linajulikana wabongo wazinguaji kwenye kutoa connection za majuu kama siyo uchoyo basi tunaogopana labda.Green card sio connection ujinga mtupu ilr ni bahati nasibu
Wakenya connection wanapeana ni kuambiana hapa kuna kazi moja mbili tatu kuipata fanya moja mbili tatu au kuna chio kinatoa scholarship huku.ugenini au kusoma bure fanya moja mbili tatu
Green lottery unaita connection shame on you
Russia kubeba box tena mzee hahahahaWabongo wanaponda wabeba box kumbe behind the scene wanatamani kwenda kiwanja.
BTW; naomba connection ya kwenda kwenda Russia kupiga box
Wabongo wanachotaka kinachoitwa connection, umuandikie jinsi ya kuapply college, eeh akikubaliwa jinsi ya kupata visa, eeh akiipata umpokee airport, eeehh umchukue uende nae kwako aoge halafu ale bure.. eeh kesho uache shughuli zako umpeleke sehemu za kazi umuoneshe na umsaidie kuaplly kazi. yaani umraisishie kila kitu kama mtoto mdogo vile, hajui kuna watu wanakata mbuga wanaruka ukuta tokea Mexico na wengine wana cross boarder kwenye snow ya Canada. Nachoona ni kuwaacha wapambane na tozo huko na sie tuendelee kubeba mabox yetu teehteehteeh.Wabongo wanaponda wabeba box kumbe behind the scene wanatamani kwenda kiwanja.
BTW; naomba connection ya kwenda kwenda Russia kupiga box
Nataka niende kwa mzalendo Putin nikapige boxRussia kubeba box tena mzee hahahaha
Safi sana kwa mzalendo Putin wewe kweli mbeba box halisi Ndugu yanguNataka niende kwa mzalendo Putin nikapige box
Hata nchi nyingine mkuu.Are you fixed kwa AUS tu au hata nchi zingine?
Na mkikaribishwa amchelewi kuharibu.Mfano ukienda sauzi hata ukisikia mbongo anagonga kiswahili,weka headphones kabisa.Connection inayotakiwa ni wewe akija umpe hifadhi naumsaidie kutafuta kazi na apate viza ya mda mrefu aachane na mambo ya kurenuew viza kila wakati
Sasa nyie mnamwambia tu nauli mpaka Marekani ni million Tatu basi, sasa kujua bei ya nauli ni connection? Acheni uhuni bhana mna Roho mbaya tu
Kuhusu visit visa to canada simshaur, wanachelewesha sana. MIM ni mmoja wapo imetimia six month hola, mwengine kaomba 2021 mpka leo kimnyaMkuu unampeleka mbali school izo nchi ni ghali aombe visit visa canada ajue french ata cha kuomba maji the rest is history
Inachelewa but ndo option affordable kati ya zoteKuhusu visit visa to canada simshaur, wanachelewesha sana. MIM ni mmoja wapo imetimia six month hola, mwengine kaomba 2021 mpka leo kimnya
Bongo kutamu mzee baada ya Bi mkubwa kuchukua kitengo magogoni😂🤣🤣🤣🤣 kidogo kuna ahueni.Nilikua na mpango wa kwenda Chicago kule southside Parkway gardens 6400 blocks (WIIIC City)kwenye zile project now days wanaziita O block nikaanzie aharakati huko ila mwenyeji wangu ambae ni raia wa marekani kanitisha kwa kuniambia ukweli kuhusu gang,s violence eneo analoishi ambalo mimi nitafikia kwake kukaa nikaghairi kwa mda mipango yote mkuu.Bongo watu wanakula bata tu sio
Mm mwenyewe alienialika Chicago ni demu.Washikaji mbwembwe nyingi,maelezo kiduchu.🤣🤣Na hasa sisi wanaume tuna *OHO MBAYA SANA kusaidiana yani ni bora umweleze shida yako mwanamke atakuskiliza
Labda nitoe sources zangu haswa kwa agricultural streamkaka komaa mwenyewe ukitegemea mtu muda utakuacha bure hakuna atayekupa msaada hapa.
Ujakosea kakaMm mwenyewe alienialika Chicago ni demu.Washikaji mbwembwe nyingi,maelezo kiduchu.🤣🤣
Mdau huyo mwana wa kuitwa @ Bufa alikuambia uwe shoga ndio uende marekani🤣🤣🤣🤣😂😂😂??????Yeye anakaa state ipi??????? Nitafute nikupe connection za wana wapo Chicago na Huston city Texas wanaweza kukupa maelezo yaliyonyooka mkuu.Usikate tamaa kama ipo basi ipo tu.Kijana wa Leo anapambania kutengeneza kesho yake hvyo kuna mambo ya hapa na pale na ndo kipindi ambacho kijana anahitaji msaada.lkn Leo kijana anaomba connection za kufanya jambo Fulani tena LA maaendeleo lkn anapuuzwa
Lkn mkisikia kija huyohuyo kahalibikiwa lbda kawa panya road,mwizi,kibaka na mhuni mnaanza kusema mambo ambayo hayaeleweki mara hataki frusa mara vijana wa sikuhizi hawataki kazi yani chungu nzima,wakti mwanzo aliomba msaada lkn mkampuuza
Wana wanaishi kininja sometimes😂😂😂 USA sema ukitusua basi umetusua kweli.Lakini serikali ya USA inazingua sana kuhusu kutuma hela nyumbani,process ndeefu sana.Ujakosea kaka
Mimi sitaki kufika uki us nataka Canada au coreaWana wanaishi kininja sometimes😂😂😂 USA sema ukitusua basi umetusua kweli.Lakini serikali ya USA inazingua sana kuhusu kutuma hela nyumbani,process ndeefu sana.
Mimi sitaki kufika uki us nataka Canada au corea
Putin ni mzalendo hasa na anawajali watu weusi,Safi sana kwa mzalendo Putin wewe kweli mbeba box halisi Ndugu yangu
Inatakiwa unaomba Huku unaendelea na mambo mengine.Inachelewa but ndo option affordable kati ya zote
Ukishinda dv lottery unateleza kama upepo. Hela yako tu ya nauli tena uzuri hii Hamna kukata ticket ya go and return.Naijua vizuri sana kupata Green si rahisi sababu ni bahati nasibu na ukipata bado unahitaji connection kuwa hata uwe na pesa za tiketi bado utahitaji host wa kuku host na kukupa connection za ukifika USA kazi utapata wapi ,Social Security namba nknk
Ili ukitua tu USA mtu ajue aelekea wapi
Kupewa Green card pekee si kuwa mtu katoka bado ahitaji connection ambazi Diaspora wetu hawataki ku share