Diaspora Hawatoi connection?

Diaspora Hawatoi connection?

Utakuwa na Dosari bwana Robert. Kataa chuki nafsini mwako.

Binafsi nachukia Mashoga na mabasha duniani!... hawa ni mashetani na majini mabaya yanayoonekana kwa macho.

Nachukia wezi na Vibaka kwa sababu hawataki kujishughulisha na kujiongeza, wanataka vya rahisi.

Tanguliza upendo kwa kila mtu maishani, popote uendapo Duniani ipe chuki asilimia chache sana nafsini mwako. Unaepukana na mengi. Chuki ni maradhi ya moyo.

Huwezi kumchukia mtu suddenly kwa maamuzi tu huo ni uzwazwa na shida ya akili.

Upendo ni hiyari, na huwezi mpenda MTU suddenly Kwa maamuzi. Upendo unakuja natural, automatically kutegemeana na mazingira.

Hata Mungu ndivyo anavyofanya kazi. Wapo anaowapenda na wapo anaowachukia.
Hata utende Mema vipi kama Mungu hakupendi hakupendi tuu
 
Mkuu huu uzi unahusu mambo ya connection za kwenda nje.
Pili hakuna kitu kinakuja automatically kama unavyosema japo unajichanganya mara mazingira mara automatically.

Mazingira ni sehemu ya Naturally, au automatically.
Sasa MTU atakupa connection bila kukupenda?
 
Upendo ni hiyari, na huwezi mpenda MTU suddenly Kwa maamuzi. Upendo unakuja natural, automatically kutegemeana na mazingira.

Hata Mungu ndivyo anavyofanya kazi. Wapo anaowapenda na wapo anaowachukia.
Hata utende Mema vipi kama Mungu hakupendi hakupendi tuu
WE KUMBE HUNA AKILI!

Nimegundua nilikuwa namuelewesha mtu MPUMBAVU!

SIKU NJEMA WE MPUMBAVU!
 
WE KUMBE HUNA AKILI!

Nimegundua nilikuwa namuelewesha mtu MPUMBAVU!

SIKU NJEMA WE MPUMBAVU!

😂😂😂

Malizia Hii ukakojoe ukalale;

Warumi 9:13
Neno: Bibilia Takatifu​

13 Kama Maandiko yasemavyo: “Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.”

Warumi 4
8Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.

Wewe hata ujipendekeze Kwa Mungu kama hakupendi ni hakupendi tuu.😂😂
 
Mwanangu kafeli mwezi sasa kunitumia fungu anadai kuna idara wanamkwamisha bila sababu za msingi.
Kuna anko wangu kanunua jumba Dar si chini ya milion 150 wiki mbili zimepita na Yuko huko huko state.


Mambo ni mengi tutafute taarifa. Piga SMU hata Nala waulize policy za kutuma pesa kutoka USA to TZ

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂
Hayo ndio mawazo ya Maskini na fukara.
Sasa Kwa Akili hizi hata huyo anayewapa Watu Mafanikio atakupa kweli Mafanikio?

Msaada sio Haki yako, sio lazima.
Haki ni wewe mwenyewe kujisaidia.
Mwenye jukumu la kukusaidia ni Baba na Mama yako, full stop.

Sisi wengine ni hiyari yetu. Kama wewe ulivyo na hiyari ya kusaidia wengine.
Ni ishu ya moyo na upendo tuu.

Alafu MTU anaweza asikusaidie wewe lakini akawa anasaidia wengine, yaani asikupende wewe lakini akawa anawapenda wengine.


Hivyo hizo hasira zako ni hasira za mkizi

Taikon wa Fasihi, umemaliza kila kitu. Asante
 
Au wanangoja uraia pacha ipate kibali ndio watakuwa free na watawekeza Tanzania pia.

By the way kwann serikali haiharakishi kuruhusu uraia pacha? Ingesaidiwa kupunguza dhiki kwa wananchi maana Disspora wengi wanataka kuwekeza hapa nchini.

Ni wakati muafaka wa hilo.

Serikali ya TZ bado ipo enzi za ujima.
 
Watanzania lazima tujifunze kuambiana ukweli, kuukubali ukweli hata kama ni mchungu vipi, na kuufanyia kazi ukweli kupata matokeo mazuri.

Sad fact: Nchi za watu hazimtaki kila mtu kutoka huku swekeni kwetu you know! Kwasababu hazimtaki kila mtu lazima ujipangie mpango wa muda mrefu wa kukubaliwa. Kama mpango ni shule/kazi/matembezi lazima ujitahidi kuwa eligible, kama hauko eligible leo jiandae hata kwa miaka mitatu mbele uweze kutimiza vigezo na masharti, baada ya kuvitimiza unaweza kuomba viza mwenyewe kabisa bila hata kuasaidiwa na mtu.

Mnawapraise wakenya na wanaijeria bila kujua kuwa wao kama jamii huwa wanapanga mipango ya muda mrefu kuhamia nchi zilizoendelea, mathalani wanaambizana course za kusoma, experience za kutafuta hata kupata ufaulu mzuri ili kuqualify kwenye scholarships na pia kujiandaa financially.

Sisi sasa hahaha! Ufaulu kizungumkuti, course tulizosoma majanga, vibubu havina mia, experience ya kazi vichekesho, nani atakutaka nchini kwake?
 
Brother pamoja na kukaa nje naoa bado una kaushamba fulani wapi nimekwamia unitafutie chuo au kazi ebu jiheshimu toka mwanzo nimekwambia niko hapa kuchangia mada siyo kuomba msaada kwa yeyote kuwa muelewa kwa shule ulienda kusomea ujinga Ndugu.

If you say so. Umeendelea kusema wabongo hawatoi connection ndo maana namimi nimeendelea kukuuliza hivyo. But we can agree to disagree. Endelea kuchangia mada
 
Well said! Na ni kweli hawapendani hao mbwa 😂

Watu wengine marekani hawataki urafiki wala kujuana na wabongo.. ile uswahili wao wa huku wanaupelekega mpaka kule 😂😂

Mkuu kujihusisha na wabongo wenzako ni uamuzi wa mtu mwenywe. Kila state in the US ina community ya watz na zina watanzania wengi tu, bado kuna DICOTA (Diaspora Council of Tanzanians in America) inayojumuisha watanzania wote wanaoishi in the US na imesheheni watz wengi tu. Huwezi lazimisha kila mtu ajiunge ila kusema watz hawashirikiani ni uongo. Hata bongo sio kila mtu ni CCM au CHADEMA wakati wengine ni wapenzi kindakindaki wa hivyo vyama. Hili ni swala personal ila watu wanashirikiana.
 
Hawezi kukusaidia. Atakubabaisha tu, atakusaundisha... blah! blah! Nyingi, mwisho wa siku ataku-block ili usiende ukala mema ya nchi kama yeye. Miafrika sisi ni mijinga sana! 😂😂😂🙌🏾

Kwani mimi nilifikaje? Wengine walifikaje?

Mtu hawezi kwenda nje bila mimi au diaspora?

Kama inawezekana kwanini yeye ashindwe?

Una uhakika gani mimi nakula mema ya nchi nje? Sio nyie mnaosema nje ni kugumu?

Tumesaidiana na shuhuda zipo humu humu jukwani, anasaidiwa anayejisaidia na msaada ni hisani sio lazima.
 
Watanzania lazima tujifunze kuambiana ukweli, kuukubali ukweli hata kama ni mchungu vipi, na kuufanyia kazi ukweli kupata matokeo mazuri.

Sad fact: Nchi za watu hazimtaki kila mtu kutoka huku swekeni kwetu you know! Kwasababu hazimtaki kila mtu lazima ujipangie mpango wa muda mrefu wa kukubaliwa. Kama mpango ni shule/kazi/matembezi lazima ujitahidi kuwa eligible, kama hauko eligible leo jiandae hata kwa miaka mitatu mbele uweze kutimiza vigezo na masharti, baada ya kuvitimiza unaweza kuomba viza mwenyewe kabisa bila hata kuasaidiwa na mtu.

Mnawapraise wakenya na wanaijeria bila kujua kuwa wao kama jamii huwa wanapanga mipango ya muda mrefu kuhamia nchi zilizoendelea, mathalani wanaambizana course za kusoma, experience za kutafuta hata kupata ufaulu mzuri ili kuqualify kwenye scholarships na pia kujiandaa financially.

Sisi sasa hahaha! Ufaulu kizungumkuti, course tulizosoma majanga, vibubu havina mia, experience ya kazi vichekesho, nani atakutaka nchini kwake?

Asante sana mkuu. Nai-pin hii comment kwenye uzi 1st page. Mbongo anataka umpe connection leo kesho asepe hata kama hana vigezo.

Wanigeria, wakenya ukiwaambia fanya hivi ili utoboe anafanya. Hiyo ndo connection yenyewe. Ukiambiwa pita hivi jiongeze fanya then rudi tuendelee kujadiliana. Mbongo anataka wewe ndo umfanyie yeye aje tu hata kama hameet the criteria. Smh
 
Tushaacha walaumu boss maana tumejua wengi uko mmepelekwa na baba zenu, dada zenu Kaka zenu Yani mmejikuta tu mpo ughaibuni pasipo kujua ndugu zenu wamepambanaje passport umeletewa home, Visa umeletewa home, nauli umepewa uwanja wa ndege umepelekwa uko ughaibuni ukapokelewa Sasa mtatupa connection gani mnajua nini so tumeacha walamu

Whatever makes you sleep at night mkuu.
 
Kiongozi nna swali ukishinda dv ok una passport tayari gharama ni kiasi gani as nauliza IDs etc ni kama dollar ngapi? Msaada.

Mkuu nauli inategemea na muda unaosafiri itakua in the 1000USD range.

Utatumia gharama zingine ndogo tu kwaajili ya process za pale ubalozini, pia utahitaji kuwa na mwenyeji wako US ambaye utatumia address yake ili SSN na GC yenyewe vitumwe kwake.

Ukishinda GC umeula mzee inakua rahisi sana. Reach out for more info.
 
Msaada unatoka Kwa Mungu,
Mungu ndio mwenye wajibu wa kusaidia Watu wake iwe Kwa kupenda au asipende. Kwani ndio majukumu yake.

Ila Kwa Sisi wanadamu tunasaidia Kwa hiyari, mapenzi na upendo.
Kamaa MTU hapendi kusaidia MTU au mtoto yatima hiyo sio dhambi au KOSA.
Kwani hakuna amri ya kumlazimisha hiyari ya watu

Taikoni unatema madini.
 
Asante sana mkuu. Nai-pin hii comment kwenye uzi 1st page. Mbongo anataka umpe connection leo kesho asepe hata kama hana vigezo.

Wanigeria, wakenya ukiwaambia fanya hivi ili utoboe anafanya. Hiyo ndo connection yenyewe. Ukiambiwa pita hivi jiongeze fanya then rudi tuendelee kujadiliana. Mbongo anataka wewe ndo umfanyie yeye aje tu hata kama hameet the criteria. Smh
Asante sana mkuu! kama utaipin then I'm honored. tuendelee kuelekezana na si kudanganyana, kupeana false hope na kubaby-sitiana 😅
 
Back
Top Bottom