N'yadikwa JF-Expert Member Joined Aug 10, 2014 Posts 7,427 Reaction score 10,905 May 31, 2022 Thread starter #21 Tafuta Hela said: Kigamboni tu imekuwa story Mkuu huogopi kuwa muongo Click to expand... Nani sasa unamuuliza haogopi kuwa muongo hao dayasipora au mleta sledi
Tafuta Hela said: Kigamboni tu imekuwa story Mkuu huogopi kuwa muongo Click to expand... Nani sasa unamuuliza haogopi kuwa muongo hao dayasipora au mleta sledi
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 May 31, 2022 #22 Sio uongo ila hiyo kitu inapigwa vita na watu wachache kwa maslahi yao binafsi.
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 May 31, 2022 #23 N'yadikwa said: Lini mnatekeleza hii ahadi ndugu zangu wa huko ng'ambo. Au mlitufunga kamba? HILI MLIAHIDI MIAKA MIWILI ILIYOPITA ====== Pia soma: - Dr Shein: Tunaandaa rasimu ya kuwatambua Watanzania wanaoishi nje kisheria, tutajenga Daraja la Zanzibar - Bara - Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja litakalojengwa kutoka Dar hadi Zanzibar Click to expand... 👆 Maghayo huu ujenzi mtaanza lini ?
N'yadikwa said: Lini mnatekeleza hii ahadi ndugu zangu wa huko ng'ambo. Au mlitufunga kamba? HILI MLIAHIDI MIAKA MIWILI ILIYOPITA ====== Pia soma: - Dr Shein: Tunaandaa rasimu ya kuwatambua Watanzania wanaoishi nje kisheria, tutajenga Daraja la Zanzibar - Bara - Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja litakalojengwa kutoka Dar hadi Zanzibar Click to expand... 👆 Maghayo huu ujenzi mtaanza lini ?
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Jun 1, 2022 #24 Proved said: 👆 Maghayo huu ujenzi mtaanza lini ? Click to expand... Mkuu wakati wowote. Kwa maelezo Zaid muulize mapacha wangu Stress Challenger Nguseroh Mbususu Enthusiast
Proved said: 👆 Maghayo huu ujenzi mtaanza lini ? Click to expand... Mkuu wakati wowote. Kwa maelezo Zaid muulize mapacha wangu Stress Challenger Nguseroh Mbususu Enthusiast