Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,628
- 1,124
Hii ni habari njema sana, kuwafunza Diaspora wetu, ila kiukweli diaspora wetu... Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo! pia niliwauliza Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
Diaspora wengi wa Tz wamechukua uraia wa nchi wanazoishi bila kuukana uraia wa Bongo, hivyo hufanya uwekezaji wao kwa mashaka kidogo, either hapa Bongo au huko wanapoishi. Hii ni kwa sababu nchi wanazoishi zinaruhusu uraia pacha na Hawa wabongo wanataka vyote, uraia wa Bongo na huko waishipo.Hii ni habari njema sana, kuwafunza Diaspora wetu, ila kiukweli diaspora wetu... Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo! pia niliwauliza Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
P
Siku Tanzania ikiruhusu uraia pacha ndipo itakapowaona Hawa watu wakifanya mambo makubwa hapa Tanzania.