Diaspora Tanzania Waonywa, Wasipojitambua Wataendelea kulaumu!

Diaspora Tanzania Waonywa, Wasipojitambua Wataendelea kulaumu!

Very true , lakini hii elimu hatupewi shule, tunafundishwa kuhusu fuvu la kwanza kule oduvai na kwamba tulikuwa masokwe na wazungu nwalikuwa binadamu na wao wazungu ndio waligundua haya masokwe yanageuka kuwa watu -waafrika.
Mimi nikiona kijana amejenga gorofa naona safi ila wazee eti Mwijaku ana miaka 40 anapiga kelele ,wakati kawaida .

Kuna mwalimu aliajiriwa na miaka 23 since then ,alianza kujenga gorofa sasa ana miaka kama 37 kashamaliza mpaka mkopo ,tena aliomba kurudishwa kwao maisha rahisi wilayani huko hana tatizo ..Kahamishwa shule ya jirani kama mwalimu mkuu huko nasikia.
 
Ngoja ukeletwe kweny kiroba ukiwa maiti kama sangara ... Rudi kwenu m
Ila mkuu kweli hicho kitu kinaumiza nakuhuzunisha kurudishwa homu kama parcel. Nimeshashudia kama mara saba hivi. Iliyoniuma ni binti wa miaka 23 kutoka Zambia ndo mgeni kauwawa akideliver magazeti alfajir asubuhi. Nililia sana tulipokuwa tunausindikiaza mwili airport kwenye zinc coffin.

Halafu tulipokuwa tunafuatilia mambo ya kusafirisha mwili hela ilikuwa haijatimia na wiki mbili inakaribia kuisha.

Kuna mdada mwengine mortuary kutoka Argentina ndugu zake wanakubali tu achomwe kwasababu hadi Argentina ni 22k usd.

Sheria hapa kuzikwa lazima baada ya wiki mbili uwe hata muislamu.
 
Mimi nikiona kijana amejenga gorofa naona safi ila wazee eti Mwijaku ana miaka 40 anapiga kelele ,wakati kawaida .

Kuna mwalimu aliajiriwa na miaka 23 since then ,alianza kujenga gorofa sasa ana miaka kama 37 kashamaliza mpaka mkopo ,tena aliomba kurudishwa kwao maisha rahisi wilayani huko hana tatizo ..Kahamishwa shule ya jirani kama mwalimu mkuu huko nasikia.
Huyo ni very smart
 
Maelezo yako yana funzo kubwa sana na onyo na maoni ndani yake. Kosa kubwa umefanya ni kutaja wahusika kwa majina halisi kwenye public kwenye story ya kusikitisha. Mfano huyo uncle Calist Mushi kama kapata pesa miaka hii ya karibuni wanaomjua watasema alikuwa akimuibia Mzee Maruma pesa za ujenzi alizokuwa akituma. Hata hivyo haiondoi ukweli kwamba diaspora wengi wanasahau ulaya/marekani hata kama wana uraia siyo rafiki kwa wazee. Kule pa kutafutia tu ukizeeka socially unateseka na kufa kabla ya muda wako.
Umeisoma hiyo hadithi mpaka mwisho lakini? Au umekurupuka kwenda kujibu tu?
 
Ila mkuu kweli hicho kitu kinaumiza nakuhuzunisha kurudishwa homu kama parcel. Nimeshashudia kama mara saba hivi. Iliyoniuma ni binti wa miaka 23 kutoka Zambia ndo mgeni kauwawa akideliver magazeti alfajir asubuhi. Nililia sana tulipokuwa tunausindikiaza mwili airport kwenye zinc coffin.

Halafu tulipokuwa tunafuatilia mambo ya kusafirisha mwili hela ilikuwa haijatimia na wiki mbili inakaribia kuisha.

Kuna mdada mwengine mortuary kutoka Argentina ndugu zake wanakubali tu achomwe kwasababu hadi Argentina ni 22k usd.

Sheria hapa kuzikwa lazima baada ya wiki mbili uwe hata muislamu.
Muwe na umoja mkiwa nje ,maana naoma vijana wa south wakiletana sana bongo wana utaratibu mzuri..
 
Hii ni kwa sababu Mjomba Emma Maruma hawezi kupanda ngazi bila msaada wa mtu mwingine. Hata kwa msaada, inachukua dakika 10 kufanya kupanda. Kwa hali hiyo, Emma Maruma ameamua kukaa chini sebuleni kwani vyumba vyote 5 vya kulala viko ghorofani.
Hakika mjomba wako hakuwa ya mbeleni! Bro angu yeye kaweka kabisa lift ili siku ya siku akishindwa kupanda ngazi awe anatumia lift kwenda chumbani kwake! Na ghorofani jamaa kaweka living room la uhakika! Maisha haya!
 
Hakika mjomba wako hakuwa ya mbeleni! Bro angu yeye kaweka kabisa lift ili siku ya siku akishindwa kupanda ngazi awe anatumia lift kwenda chumbani kwake! Na ghorofani jamaa kaweka living room la uhakika! Maisha haya!
Sioni tatizo maana anaweza kugeuza floor za juu kukaa watoto na wengine ,yeye chini fresh maisha yanaenda .
 
Back
Top Bottom