Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Tatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Hapo utafurahia maisha bongo, ila kama wewe ni ras kama I'd yako mm
Tatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Hapo uta
Tatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Hapo bongo utapafurahia, wewe ni Ra's kama I'd yako ilivyo? Yaan sijui ma rasi nawachukuliaje? Any way nawaza tuu, maana juzi town nimekutana na ras ana dem mzungu, inasemekana ni gf wake ila alivyo kuwa dah suliluali kama linataka kudondoka, sigara yaan nashindwa kumdefine.

Kama nimekukwaza nisamehe
 
Hapo utafurahia maisha bongo, ila kama wewe ni ras kama I'd yako mm

Hapo uta

Hapo bongo utapafurahia, wewe ni Ra's kama I'd yako ilivyo? Yaan sijui ma rasi nawachukuliaje? Any way nawaza tuu, maana juzi town nimekutana na ras ana dem mzungu, inasemekana ni gf wake ila alivyo kuwa dah suliluali kama linataka kudondoka, sigara yaan nashindwa kumdefine.

Kama nimekukwaza nisamehe
Mkuu mm hilo ni jina tuu sina uhusiano na u ras

sivuti bangi wala sina dread
 
Ona sasa unakimbilia kusema naringa. Sio kuringa ni kuachana na blah blah. Ningesema tu natengeneza pesa nyingi ingekuwa ni mizinguo ya kiswahili tu. Kimsingi ni zaidi ya dola laki na nusu. Ni kitu kama 170 na chenji. Vichenji vingine vina udhia kupata namba yake kamili. Kuna pesa niliyorudishiwa na watu wa kodi na kuna malipo ya bima.
Wapi nimekwambia unaringa? Dogo I've been there done that.....anytime nikitaka kuingia US au UK au nchi yoyote ya aina hio naingia. Sioni cha ajabu, ndio maana nakushangaa kuja kuponda watu kisa $150,000! Sio hela kidogo ila sio tiketi ya kuja kuponda watu humu.

Yaani unaongea vitu vya kawaida....sasa unafikiri nani anataka kujua kuwa huwa unarudishiwa hela ya kodi? Hicho nacho ni kitu cha kuja kututangazia humu?! Ndio maana kuna watu wakiona thread ya Diaspora wanakuja kuwatukana tu kwasababu ya watu kama wewe!
 
Wapi nimekwambia unaringa? Dogo I've been there done that.....anytime nikitaka kuingia US au UK au nchi yoyote ya aina hio naingia. Sioni cha ajabu, ndio maana nakushangaa kuja kuponda watu kisa $150,000! Sio hela kidogo ila sio tiketi ya kuja kuponda watu humu.

Yaani unaongea vitu vya kawaida....sasa unafikiri nani anataka kujua kuwa huwa unarudishiwa hela ya kodi? Hicho nacho ni kitu cha kuja kututangazia humu?! Ndio maana kuna watu wakiona thread ya Diaspora wanakuja kuwatukana tu kwasababu ya watu kama wewe!

Been there done that! halafu ukaamua kuwa bilionea wa Kariakoo. huh!
Kwani wewe nani alikwambia watu wanataka kujua kuwa ulifika US na UK? Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!

Unakataa hujasema naringa, brag maana yake nini au hukutumia hilo neno kwangu?

Sijaponda watu kwa hela nimeponda watu kwa uzembe. Halafu wewe pia una usongo na diaspora. Kuna mada huwa naposti kuwafunua macho watanzania yaliyoko nje unakuja juu kwani kila kitu lazima tuige Marekani.

Wewe unaona naringa wengine wanajifunza hapa. Na hakuna njia nzuri ya kufundisha zaidi ya kutumia mifano hai.

Kumbuka nilisema sina umeneja wala ukurugenzi. Elimu ya kufukuzia position hizo ninayo. Ila nimeona nichukue position ya chini yenye majukumu madogo ili nipate muda wa kuingia viwanjani nifukuzie shughuli zangu nyingine.

Eti ndio maana kuna watu wakiona mada za diaspora wanakuja kututukana. Hujagundua kuwa chupi zimewabana wameukimbia huu uzi?

Bila ya kujiongopea mwenyewe ulipokuwa Marekani ulitengeneza dola zaidi ya laki na sabini kwa mwaka mmoja?

Huo ni mshahara wa mwaka wa mbunge wa Marekani. Kudaaaaadeki!

Don’t hate the player, hate the game!
 
I wish akili zingekuwa zinachangiwa kama damu waliopungukiwa na akili wangechangiwa!
 
I wish akili zingekuwa zinachangiwa kama damu waliopungukiwa na akili wangechangiwa!

Unajua Mkuu kuna watu humu wanaongea as if wengine tumezaliwa sayari ya Marsi au kwamba bongo hatuijui. Hivi huyu mtu anayekunja $150K a year kwa bongo...ni nani? na kama wapo wako wangapi? Hii ni hela ndefu no matter how we look at it.

Wengi walikuwa wanazipata serikalini kwa figisu (remember CEOs wa Mashirika ya umma na 40M zao ambazo baada ya Magu kuingia zimewatokea puani..). In all, while in US and other western countries it is possible kutengeneza hiyo hela hapa kwetu...bado sana. Yes, wapo wanaozipata hizo...... Lakini ni very few and indeed very notable.
 
Unajua Mkuu kuna watu humu wanaongea as if wengine tumezaliwa sayari ya Marsi au kwamba bongo hatuijui. Hivi huyu mtu anayekunja $150K a year kwa bongo...ni nani? na kama wapo wako wangapi? Hii ni hela ndefu no matter how we look at it.

Wengi walikuwa wanazipata serikalini kwa figisu (remember CEOs wa Mashirika ya umma na 40M zao ambazo baada ya Magu kuingia zimewatokea puani..). In all, while in US and other western countries it is possible kutengeneza hiyo hela hapa kwetu...bado sana. Yes, wapo wanaozipata hizo...... Lakini ni very few and indeed very notable.

Kabisa.

Mimi nimesema watu wapatayo hiyo hela kwa mwaka tena kihalali kabisa wanaweza wasizidi hata asilimia 2 ya population nzima. Si ajabu hata asilimia 1 hawafiki.

Hivi GDP per capita ya Tanzania ni kiasi gani vile?
 
Kabisa.

Mimi nimesema watu wapatayo hiyo hela kwa mwaka tena kihalali kabisa wanaweza wasizidi hata asilimia 2 ya population nzima. Si ajabu hata asilimia 1 hawafiki.

Hivi GDP per capita ya Tanzania ni kiasi gani vile?

Kabisa. Ni very few kama wapo. Hata hiyo one percent sijui kwa kweli.....(kwa private sector ipi? kwa public sector ipi?)

Just thinking eti Mengi au Bakhresa anamlipa CEO wa makampuni yake 300M kwa mwaka...hahahahahaah...

Vingine humu wengine tunaandika kuchangamsha baraza Lakini tunajua kabisa uhalisia ni mdogo mno in TZ context.
 
Msameheni bure jamaa pamoja na usomi wake kachanganya mzunguko wa mtaji wa dola laki na hamsini na kipato cha dola laki na hamsini. Hajui kuwa wakifika China wakishanunua mzigo wanabakia na bukta tu halafu wanaomba Mungu biashara iende salama.
Na hiyo ni kwa wachache wenye mtaji huo. Wengi wao wanazungusha mtaji wa dola elfu hamsini mpaka mia.
 
Maisha popote au warudi bongo?

Excuse me Sir, but you are contradicting yourself. Kama maisha popote usiwaambie warudi Bongo!

Msemo maarufu sana wa diaspora huo, "maisha popote," msemo wa kukata tamaa na wa uongo, masikini ya Mungu.

Sasa kama huyu Copenhagen yuko humu bila aibu anasema anaishi kwa kulipiwa renti na kanisa! Nani Tanzania analipiwa renti na kanisa zaidi ya Mzee wa Upako na Mama Rwakatare?

Namfahamu ni mchangiaji maarufu kwenye thread za immigration, anasema yuko Scandinavian countries lakini siku moja alianzisha mada hapa tukakuta hajui kuandika maneno Denmark wala Finland, yani yuko Scandinavia na darasa la saba la Afrika, he is definatelly gonna be shut out of even touching the bottom rung of the economic ladder. Mtu kama huyo atakueleza nini kuhusu maisha ya Ulaya zaidi ya kukushauri ukawe omba-omba wa makanisani?

Halafu anakuja mtu hapa anasema diaspora wakirudi wanataka kuishi standard za juu, nimemuuliza standard gani hizo ambazo walizoea Ulaya, kunywa Heineken? Kakimbia.



off course I am right, I know what I am talking about. Si wapo humu, kama naongopa watasema.

Na hilo la "kama huna shughuli ya kufanya ughaibuni..." hapo pia unawapotosha.

Sio shughuli mradi shughuli. A more helpful question is "Ulaya unafanya shughuli gani?" Kama ni odd job, "kazi za ajabu ajabu," mustakabali na hiyo kazi ni nini, utalea wazee mpaka lini, uta stock Wallmart aisles mpaka lini, utakaa kwenye kibanda cha security nje kwenye sub zero degrees mpaka lini? Au kama hujioni ukitoka humo, okay, unapata nini out of it, umefanya miaka 5, 10, do you have anything to show for it? Au unapokea tu subsistence paycheck, umelala umeamka, maisha popote!

Vast majority of the diaspora exist on subsistence compensation, mdomo uende kinywani. Na si wao tu, nanukuu, "...approximately 62% of Americans have less than $1,000 in their savings accounts and 21% don't even have a savings account..." Nenda google andika "USA Savings..."

Hawa ndugu zetu msiwadanganye eti wakija bongo tatizo wanapenda kuishi standard za juu, standard za juu zipi?
Mkuu inaonyesha hiki kibano kilikukuta. Hebu tuambie ni nchi gani ulikokuwa na mambo gani yalikukuta ukarudi hapa nyumbani? Sababu unaongea kwa uzoefu wa maisha hayo.
 
Ha ha ha wapinzani wa diaspora wamezima sigara. Hii ndio ile Umsolopagas alisema “wako wapi waliopanda ngazi kuu”

Mwanadiaspora ukiamua kurudi nyumbani rudi tu kwa mapenzi ya nyumbani usirudi kwa kushindwa maisha nje. Labda kama umeshakipaka sana nje hutamaniki huchukuliki.

Sio siri kuishi kwenye mazingira haya unaweza kuona ni afadhali matope ya Bongo. Inapendeza kuchungulia ila kama uko kituo cha basi. We acha tu.
294e97f0e9ba0cf673f6d4d6ccd1e78b.jpg
 
ndugu wana diaspora'inakuwa ngumu sana sisi tulioshi nje ya Tanzania kwa miaka mingi kurudi na kuanza new life'mnafanyaje mbona wengine tumeshindwa? Nina rafiki zangu watatu walirudi kwa wakati tofauti wamekufa baada ya kuishi Tanzania kwa muda mfupi'tupeane mbinu how to start'kwa mtazamo wangu naona kitu kinaitwa mid setup'ya kwamba ukiondoka Tanzania na kuishi nchi nyingine miaka mingi ile mind setup inabadilika na ukirudi inabidi ubadilishe tena mind setup iwe kama ya watanzania'
hatari ni pale unarudi older than 40 years unaeza kufa on the process'tupeane ushauri tafadhali

Mtoa mada kuna kitu muhimu kwenye uzi wako hakikujadiliwa. Hao rafiki zako watatu waliokufa ni mazingira gani walikufa. Ni ugonjwa, ajali au waliuliwa. Unaweza ukatufundisha kitu.

Ninaowajua mimi wamerudi Bongo wengine wana hali nzuri kiuchumi. Wengine hawafi cha moto wanakiona. Tena hawa niliwaambia wasirudi. Wengine walirudi wakageuza wamerudi nje.

Kuna mtangazaji mmoja wa muda mrefu wa redio Marekani ilitokea figisu kazini kwake akaacha kazi. Ila alisema atatafuta ishu ya kufanya. Kwa sababu anawajua rafiki waliostaafu pesa wanayo lakini walikufa chapu chapu kwa kukaa tu nyumbani.

Labda niseme kabla ya kurudi nyumbani jipime afya. Wakikuambia una makolestro na presha pima ukirudi nyumbani yatazidi au yatapungua. Inaweza kuwa heri kwa sababu nyumbani tunatembea sana na hatuli sana mafuta.
 
Wacha niendelee kujisifia atakaechafuka roho alambe ndimu ili asitapike.

Mwishoni mwa 2008 Bush alipokipaka uchumi ukadorora wamarekani walipoteza kazi maelfu kwa maelfu kila siku. Nilikuwa mmoja waliokumbwa na dhoruba ile.

Ila sikuterereka kwa sababu nilikuwa na kazi mbili za part time zaidi ya hiyo niliyoachishwa ambayo nilikuwa nafanya full time.

Kilichoendelea niliomba full time moja ya kazi zile mbile. Nikawa na kazi moja na nusu. Raha zaidi waliponipa full time kwa kuwa ilikuwa kazi ya serikali wakanipa mshahara sawa na wa ile kazi niliyoachishwa. Walimechisha mshahara wangu.

Sasa basi kule nikoachishwa kazi kulikuwa na mafao. Na jamaa hawakutoa kwa mpigo. Wakaendelea kunilipa mshahara karibu mwaka mzima.

Ina maana mwaka 2009 wakati watu wengi hawakuwa na mishahara walitegemea mishara ya serikali kwa wasio na kazi ambayo ni kama nusu mshahara, mimi nilikuwa nachukua mishahara mitatu kama mfanyakazi hewa wa Bongo[emoji23][emoji23][emoji23]

Bongo kuna utaratibu huo wa kulinda maslahi ya wafanyakazi?

Diaspora 3 Bongo 0
 
Ha ha ha wapinzani wa diaspora wamezima sigara. Hii ndio ile Umsolopagas alisema “wako wapi waliopanda ngazi kuu”

Mwanadiaspora ukiamua kurudi nyumbani rudi tu kwa mapenzi ya nyumbani usirudi kwa kushindwa maisha nje. Labda kama umeshakipaka sana nje hutamaniki huchukuliki.

Sio siri kuishi kwenye mazingira haya unaweza kuona ni afadhali matope ya Bongo. Inapendeza kuchungulia ila kama uko kituo cha basi. We acha tu.
294e97f0e9ba0cf673f6d4d6ccd1e78b.jpg

2E069C4E-BEBB-4C15-8461-CCF33227E0F2.jpeg
 
Hii topic tamu sana mi nimewai kwenda nje ila sijawai kuishi sana zaidi ya mwezi sema maisha niliyokuta ndugu zangu waafrica wanaishi kule ni tofauti na jinsi tunavyowachukulia uku yani ukisikia mtu anasema "Ana watoto watatu wanaishi nje" Ile prestige ni tofauti na furaha waliyonayo wakiwa kule .
Bongo kutamu sana
 
Kwani baridi unashinda nje? Huna heater nyumbani? Kwenye gari je? Baridi mwaka mzima?

Waulize watu Omaha[emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu kuna wanaopanda matreni hasa Ulaya. Kwa mfano wanaofanya kazi Washington DC kuna shida ya parking.Wengi wanapaki magari vituo vya treni wanaingia DC kwa treni. Wengine huona udhia wanapanda basi na treni.

Fikiria watu wa Canada. Ndio maana hakuna watu kule. Linchi kubwa vile lakini lina watu wachache kuliko Tanzania.
 
Hii topic tamu sana mi nimewai kwenda nje ila sijawai kuishi sana zaidi ya mwezi sema maisha niliyokuta ndugu zangu waafrica wanaishi kule ni tofauti na jinsi tunavyowachukulia uku yani ukisikia mtu anasema "Ana watoto watatu wanaishi nje" Ile prestige ni tofauti na furaha waliyonayo wakiwa kule .
Bongo kutamu sana

Maisha hayafanani kuna wengine hao watoto ndio wanaowapa pesa ya kula na kuishi.
 
Back
Top Bottom