luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Hapo utafurahia maisha bongo, ila kama wewe ni ras kama I'd yako mmTatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Hapo utaTatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Hapo bongo utapafurahia, wewe ni Ra's kama I'd yako ilivyo? Yaan sijui ma rasi nawachukuliaje? Any way nawaza tuu, maana juzi town nimekutana na ras ana dem mzungu, inasemekana ni gf wake ila alivyo kuwa dah suliluali kama linataka kudondoka, sigara yaan nashindwa kumdefine.Tatizo wanalokosea ni ku loos touch na tz mm binafsi nimeishi mbele miaka ya kutosha ila nina mpango 2020 nirudi hme nilichofanya nimenunua mashamba
mifugo pia nimeanzisha kilimo nataka pia nifungue shebeen/bar/hotel moja ya wastan very classic nadhani nitakuwa vema kimtindo siwezi kufia nchi za wazungu hilo nimekataa nimeisha tengeneza connection ya kuuza nyama SA na Congo kuna uhitaji mkubwa wa nyama ya ng'ombe
Kama nimekukwaza nisamehe