Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Masikini wana mawazo membamba sana !Kwani hao diaspora hawana shughuli za kufanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini wana mawazo membamba sana !Kwani hao diaspora hawana shughuli za kufanya?
Chadema ina watuMmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .
View attachment 2034966
Wote wanakaribishw aktk jukwaa la wokovu.Nasikia Phd holder Mbunge msukuma atakuwa moja ya wageni waalikwa na atapewa nafasi ya kushusha nondo..
Sijui itakuwaje maana Uhuru pia kutakuwa na Sherehe au watasema askari hawatoshiMmeshampa mkuu wa mamwela ramani ya Vita ngoja ataitisha press conference kwamba kuna viashiria vya ugaidi kongamano litapigwa chini
Kongamano ni shughuli piaKwani hao diaspora hawana shughuli za kufanya?
Kwake yeye shughuli mpaka akale wali ccmKongamano ni shughuli pia
Tulishaikomboa Chato inatosha.Kwa hiyo chadema inakuja kusherekea Uhuru wa nini, huu huu wa CCM? mara nyingi huwa nasikia mnataka kuikomboa nchi, kumbe tayari nchi ina Uhuru wa kusherekea na Chadema?
Chadema. Kwani zile mil 100 za mr Sabodo zilifanya kazi gani?Nani alaumiwe?
Karibu sana mkuuWenzako wanakuja kula Xmas wewe unasema kongamano,kwani digital yenu imeishia wapi, mtu atakuwa mwehu eti atumie nauli yake kwa ajili ya kongamano helwa laUfipa hivi unajua USD $ ilivyo ngumu huko majuu.mtu ahenyeke kubeba box halafu eti aje kwenye kongamano,huyo Amsterdam wenu huwa anatembeza bakuli humu kwa ajili kusafiri tu sembuse mbeba box?
Mzaaji atakua alimbana kichwa kidogomkuu ulizaliwa timamu ukalogwa ukubwani au ulizaliwa hivyo hivyo kimeo ?
Mzaaji atakua alimbana kichwa kidogomkuu ulizaliwa timamu ukalogwa ukubwani au ulizaliwa hivyo hivyo kimeo ?