Diaspora waanza kupanda ndege ili kuwahi Kongamano la miaka 60 ya Uhuru lililoandaliwa na CHADEMA

Diaspora waanza kupanda ndege ili kuwahi Kongamano la miaka 60 ya Uhuru lililoandaliwa na CHADEMA

Mmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .

View attachment 2034966
Hakuna anaeweza kupoteza nauli yake shauri mambo yasiokua na tija
 
Wewe bado sana sio lazima waje physically, wanaweza wote duniani wakashiriki kongamano hilo kwa kutumia mtandao'ZOOM" na wakatosha!!!
Huyo hapo juu ameshakata tiketi....ni tiketi ya mtandao "zoom"?!!!
 
Back
Top Bottom