Amechanja? Au anakimbia chanjoMmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .
View attachment 2034966
Hakuna anaeweza kupoteza nauli yake shauri mambo yasiokua na tijaMmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .
View attachment 2034966
hahahahaYaani DIASPORA hao wote wa "dunia" watoshe katika kile "kibiriti" pale Ufipa?!!😳😳🤣
Mwenye Uwezo mkubwa uwe wewe?Umeelewa kilichoandikwa?
Unauwezo mdogo wa kuelewa
Mtaa wa Lumumba Kuna ujambazi mchana kweupeee.Mtaa wa Ufipa unafurika wakati wa mvua.
cc: Mrangi
Huyo hapo juu ameshakata tiketi....ni tiketi ya mtandao "zoom"?!!!Wewe bado sana sio lazima waje physically, wanaweza wote duniani wakashiriki kongamano hilo kwa kutumia mtandao'ZOOM" na wakatosha!!!
Huyo hapo juu ameshakata tiketi....ni tiketi ya mtandao "zoom"?!!!