Usinikosee Heshima kunihusisha na CCM ninayoilaani daily.lakini walioenda Mahakamani ni Diaspora , siyo Chadema ; usitusingizie , Bali sisi chadema na nyinyi ccm tutapambana jukwaani kuanzia wiki ijayo kwenye mikutano ya hadhara
Tanzania ni beyond CCM na CDM, suala la uraia pacha halina AFYA Kwa Nchi makini kama hii.