Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

I Feel it ....uncle
Myself ni muhanga wa hili suala though bado sijavuka boundaries as you, Pasco mayalla na wengine
 
Ni ziara binafsi kwasababu mimi ni an African man, nina miji miwili, first family iko hapa US, second family iko Bongo
au ndio kwenye harakati za ppr kufungua ofisi USA?
Kufuatia hussles za a working viza za production team yangu kuja US, nimeamua kuisajili PPR US narudi Bongo kumtafuta mtu competent kuwa bureau chief wangu wa US, TAK itaanzia US.
Huenda ukawa na lengo zuri lakini namna ulivyolileta inatupa ukakasi.
Mimi ni Mbongo, na wabongo nawajua, especially when it comes to sharing success stories, hivyo sishangai. Kuna watu wanafanya makubwa mazuri lakini wako low profile, mfano mzuri ni S.S. Bakheresa, japo ana TV na redio, huwezi kuona akionyeshwa anatoa msaada popote, lakini anasaidia sana. Na kuna wengine wakisaidia lazima wajionyeshe. Lengo la TAK ni kuimulika Tanzania Africa na Kimataifa kwa Watanzania.
Shida kubwa mara zote imekua upande wa serikali yetu, wao ndio wanatakiwa watoe boriti Kisha mambo ya kibanzi yatafuatia kwenye hili la Diaspora wa Tanzania waishio Marekani.
It's true
Hao jirani zetu unaowatolea mfano wamefika hapo kwa vile serikali Yao ipo bega Kwa bega na wao.
Hiki ndicho tunachotaka Diaspora wetu wafanye waseme wangependa serikali yao iwafanyie nini?. Kila mtu wa East Africa akifika DC, ukiulizia African foods unapelekwa pale. Viongozi wa Kenya wanakutana na Wakenya hapo, sisi viongozi wetu ni kukutania kwa balozi au hotelini!. Visibility ya diaspora wa India, Ghana, Nigeria, Kenya etc ni kubwa hadi data za remittances ni very transparent, kwa Tanzania...
P
 
Mimi naheshimu sana the right to privacy, ila napenda holistic lifestyle, live for others.
P
 
Mkuu Mimi bado ni kijana tu, nikitaja umri wangu unaweza kustaajabu, may be you're ahead. Fighting hard ni jambo kubwa sana but in life we sometimes need LUCKY. Kwangu imekuwa hivyo
Haha si kweli, I'm in my early 20's
 

Ahsante sana Kwa majibu yaliyoenda mbali zaidi ya matarajio yangu Kaka.

Kama mtizamo wa serikali hautabadiliia inavyowachukulia diaspora, sitegemei wao watahangaika au kujishughulisha Kwa chochote kinachowahusisha wao na serikali.

Ni kama tayari serikali yetu ilishaweka wazi kwamba haiwakumbatii wala kuwathamini hawa watu, ndio maana wengi wamehanfaika wanavyojua wao hadi kufikia hapo walipo. Huenda hizi juhudi zako zikabadili upepo siku za usoni, lakini Kwa Sasa, hili ni jambo gumu sana kutekelezeka.

Aidha nikupongeze Kwa hatua uliyopiga kwenye eneo lako la kazi, kupanua wigo na kuwa na malengo makubwa African man, hongera sana.
 
I Feel it ....uncle
Myself ni muhanga wa hili suala though bado sijavuka boundaries as you, Pasco mayalla na wengine
What matters ni kufanikiwa kwa kuyawezea maisha, kuna watu wako hapa hapa Bongo na maisha wameyapatia, na kuna watu wako ughaibuni, bado wanajitafuta. Mimi target yangu kwenye TAK ni only the success stories.
P
 
What matters ni kufanikiwa kwa kuyawezea maisha, kuna watu wako hapa hapa Bongo na maisha wameyapatia, na kuna watu wako ughaibuni, bado wanajitafuta. Mimi target yangu kwenye TAK ni only the success stories.
P
It's true uncle...hiyo burning desire uko nayo ni absolutely impressive...hope one day at a time stories will change in a blink of an eye
 
Sij
Sijalisoma andiko lote lakini kwa ufupi, sidhani kama kuna diaspora ambae ana akili za kujionesha Tanzania, ili iweje?

Sifahamu kama kuna diaspora ambae anaishi vizuri kisheria hajafanya kitu nyumbani.

Kuna diaspora wengi sana, tena sana, ambao wamejiamulia huko nje walipo ndiyo kwao. Tanzania patabaki kuwa asili yake.

Sheria za Tanzania za kuzuwia uraia pacha zimewafanya diaspora wengi wadhulumiwe na ndugu, jamaa na marafiki mpaka ikawakatisha tamaa kufanya lolote la maana Tanzania.

Kwa wengi, sisemi wote, kama mwenyewe haupo Tanzania, kuwekeza Tanzania imefikia kuwa kama mtu kuchukuwa pesa kuzimwaga shimo la choo.
 
Kitendo cha serikali kuzuia uraia pacha ni kama kuwafungia milango raia wa kitanzania waliochukua uraia wa nchi nyingine.
 
Mambo ya kufuatiliana muangamize familia za walio nje ndio kikwazo. Nchi yetu ni ya kidwanzi sana.
Mikoani kuna Maendeleo ya kimyakimya Mkuu sio lazima wajiunge na hizo jumuiya fake za kuchunguza watu.
Wewe Fanya lililokupeleka mengine waachie wenyewe kha! Tuache kuchunguzana tuta Barikiwa ni hivyo tu!
 
Ahsante sana Kwa majibu yaliyoenda mbali zaidi ya matarajio yangu Kaka.
Asante
Kama mtizamo wa serikali hautabadiliia inavyowachukulia diaspora, sitegemei wao watahangaika au kujishughulisha Kwa chochote kinachowahusisha wao na serikali.
Serikali ni yetu tuieleze tunataka nini
Ni kama tayari serikali yetu ilishaweka wazi kwamba haiwakumbatii wala kuwathamini hawa watu, ndio maana wengi wamehanfaika wanavyojua wao hadi kufikia hapo walipo.
Serikali sasa inajali
Huenda hizi juhudi zako zikabadili upepo siku za usoni,
Tuombe uzima
lakini Kwa Sasa, hili ni jambo gumu sana kutekelezeka.
Ni kweli, tena MFA na balozi zetu, unatuma barua, haujibiwi, nitawabasa huko mbele ya safari, ngoja nikiisha vuka mto!. Wanajisahau sana hawajui hiyo mishahara yao, tunawalipa sisi ni fedha zetu, tumewaajiri watutumikie.
Aidha nikupongeze Kwa hatua uliyopiga kwenye eneo lako la kazi, kupanua wigo na kuwa na malengo makubwa
Asante
African man, hongera sana.
Hii African man bado tunasumbuana na kanisa langu Katoliki, hakuna popote kwenye Bible Mungu kakataza wake wengi, hiyo ya mke mmoja, kwa vile wenzetu wazungu uwezo wao ndio huo, sasa wanalazimisha wote tuwe hivyo!, "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
 
Duh...!, vipi majirani zetu hawa Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo? kuuliza diaspora wetu wanafanya nini ni kuwachunguza?.

P
 
Ukimya wa watu una sababu
Elewa hivyo!
Hilo nalielewa sana na kuliheshimu sana hili jambo la the right to privacy
Wewe endelea kupigania mkate wako na familia yako ya wenyewe hayakuhusu Mkuu
Mkate wangu ni kuonyeshea wengine wanafanya nini, niko hapa wiki ya pili sasa, my time yangu hapa is up, natakiwa kupeleka program hewani ili mkate wangu uje mezani, mpaka leo hakuna cha kuonyesha!, au kuna ukweli diaspora wetu hawana cha kuonekanika?.
P
 
Watu wameendeleza vijijini kwao
Watu wamejenga shule vitu o vya Afya barabara hawahitaji kujitangaza Mkuu.
Tusiwapangie watu maisha

Mtafute pesa ni mkimya mhongwa pesa kelele nyiiiingi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…