Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Mmmh... umri wa jack utata?Number one mengi alikuwa na franchise Coca-Cola ( he doesn’t own Coca-Cola ) na kampuni Zake nyinyi ni public ( watu wamewekeza Hisa ) .Mengi binafsi ukute ni maskini sana hana cash ( liquid ) ni principle .Future ya kampuni alizoanzisha it’s uncertain.Mengi angetakiwa kuwa fired kwenye kampuni zake yeye mwenyewe( Steve job was fired from his own company ) .Huyo Mengi atafanyiwa autopsie kuona nini kimemua na huyo Jaquline ataisoma number huyo maana itabidi wamshughulikie mapema .Case inaweza fika highest court ( umri wa jaq utata )
Gender bias [emoji848]Sehem kubwa ya urithi atakaopata K-Lyn ni kupitia wale mapacha aliozaa na Mengi, kwani wale ni watoto halali wa marehem hivyo kurithi ni lazima, luckily ni wakiume fungu linakua kubwa.
Bangi yako mbaya. Yule mtoto wa Rais mstaafu wa Angola hata Mengi mwenyewe alikua hamfikii.hakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
" Mengi binafsi ukute ni Maskini sana "..Number one mengi alikuwa na franchise Coca-Cola ( he doesn’t own Coca-Cola ) na kampuni Zake nyinyi ni public ( watu wamewekeza Hisa ) .Mengi binafsi ukute ni maskini sana hana cash ( liquid ) ni principle .Future ya kampuni alizoanzisha it’s uncertain.Mengi angetakiwa kuwa fired kwenye kampuni zake yeye mwenyewe( Steve job was fired from his own company ) .Huyo Mengi atafanyiwa autopsie kuona nini kimemua na huyo Jaquline ataisoma number huyo maana itabidi wamshughulikie mapema .Case inaweza fika highest court ( umri wa jaq utata )
Aisee pole sana hebu subir utaona hicho unachosema kama kipo.Sehem kubwa ya urithi atakaopata K-Lyn ni kupitia wale mapacha aliozaa na Mengi, kwani wale ni watoto halali wa marehem hivyo kurithi ni lazima, luckily ni wakiume fungu linakua kubwa.
mkifunga ndoa mnakuwa ni mwili mmoja cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, mali ni za wote, hata ndoa ifungwe leo kesho mume akafa automaticaly mali zote ni za mke. hicho ndio kinachofanyika kote mali ni za familia.
Tatizo mnachanganya hapa, sheria ya ndoa Ina apply mkitalikiana na si kwa mmojawapo kufa. Baada ya mmoja wa wanandoa kufa sheria ya mirathi ndio inatumika. Na hii pia inategemea kama aliyekufa ameandika wosia au la.Mkuu kisheria haiko hivyo.
Mkitalikiana kimahakama ugawaji wa mali unahusisha zile zilizopatikana baada ya ndoa.
Mali ulizokuwa nazo kabla ya ndoa hazihusishwi.
Tafadhari usitaje kwetu mkuu.Labda Shariah Law ya Rufiji ndombole hukoo
Nonsensehakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa
Hujui kituhakuna cha penup mkifunga ndoa mali ni pasu kwa pasu . Jacline sasa hivi ndio mwanamke tajiri kupita wote Africa