Number one mengi alikuwa na franchise Coca-Cola ( he doesn’t own Coca-Cola ) na kampuni Zake nyinyi ni public ( watu wamewekeza Hisa ) .Mengi binafsi ukute ni maskini sana hana cash ( liquid ) ni principle .Future ya kampuni alizoanzisha it’s uncertain.Mengi angetakiwa kuwa fired kwenye kampuni zake yeye mwenyewe( Steve job was fired from his own company ) .Huyo Mengi atafanyiwa autopsie kuona nini kimemua na huyo Jaquline ataisoma number huyo maana itabidi wamshughulikie mapema .Case inaweza fika highest court ( umri wa jaq utata )