Did Mwalimu die a natural death?

Did Mwalimu die a natural death?

Wana JF leo katika viwanja vinne tofauti vya kampeni Mbunge wa Musoma Mjini ambae ndie Meneja Kampeni wa Arumeru Mashariki(Vincent Nyerere) amemjibu Mkapa kuwa.
Aache unafiki wa siasa kwani ana Siri nzito juu yake ambayo ni muda muafaka sasa kwa Watanzania kuijua,na kudai kuwa yeye si mtoto wa Julius Nyerere kama anavyopotosha Mkapa ila ni wa Josephat Nyerere
Josephat na Julius ni mtu na Mdogo wake(kama hataki ajinyonge) huku akishangiliwa na umati mkubwa Sana uliohudhuria katika viwanja vya mkuytano uliofanyika Sing'si alimtaka Mkapa ajibu na aweke wazi juu ya Kifo cha baba wa Taifa aliyeondoka Butiama akiwa Mzima aliyekwenda tu kupima Afya na kurudi Mfu,huku umati ukipiga Mayowe kwa kushangilia,alitaka aweke wazi kilichomuua baba wa Taifa huku akimwaga Hadharani tofauti zilizojitokeza na Ugomvi kati yake na Mwalimu kilichopelekea Mkapa kuamua na kulazmisha mwalimu apelekwe London kutibiwa(kuuwawa) huku Nyuma akimyamazisha Daktari wa Mwalimu kwa kumpa Uwaziri ili asiseme kilichotokea.
Na alisema ilikuwaje Mkapa ataje Ugonjwa wa mwalimu ili hali Daktari wake yupo?alihoji, amemwaga vitu vingi ambavyo kwa kweli vitaleta Maswali Mengi juu ya wananchi wa Tanzania na dunia kwa ujumlaa...
Nikiripoti kutoka Uwanja wa Mapambano wa Arumeru ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa jamii Forums

Ha haa! 'Ngoma inogile' sasa.
 
Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate na ni UWT !!! baada ya kupata go ahead ya watu wazito walio nje ya nchi hii, they tried several time to poisson him through food, they failed!

Nyerere alikuwa mwiba kwenye globalization though alikuwa dictator kwenye demokrasia!

what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha


Why Vicent Nyerere is not spilling the beans
 
JULIUS NYERERE, hakufa kifo cha kawaida.Aliuawa kwa sumu iliyopandikizwa ndani ya mwili wake.Siri hiyo anaijua Daktari wake na baadhi ya maofisa na wasaidizi wake.Alilazimishwa kwenda "kuangaliwa" afya yake na mara baada ya kutoka katika hospitali kwa "checking" hiyo na kuwasili alipofikia Guest wing London alianza kujisikia vibaya na hatimaye alianguka ghafla na kudakwa na mlinzi wake aitwaye Mkanzabi.Ndipo yalipofanyika mawasiliano ya haraka ili kumuwahisha hospitali.cha ajabu wakati anaondoka Tanzania, Mkapa alikuwa akijiandaa kwenda katika mkutano mmoja huko ulaya.alipozidiwa Mwalimu,Mkapa alipitia london kutokea Zurich,lakini kwa mujibu wa madai yake huyu bwana alidai hakuweza kumwona kwa karibu,ila alimwona kwa mbaaali.Hii inadhihirisha wazi kwamba alienda kumsanifu mzee huyo wa miaka 77 akiwa kitandani hoi.Aliporudi Tanzania alikutana na waandishi wa habari na kudai ikulu itakuwa ikitoa taarifa za maendeleo ya Mwalimu huku akisema kwa maneno ya mafumbo kuwa "Mwalimu is recovering slowly"(Dying slowly!).Wakaona mtu wa kumtuma kudhibiti yanayoendelea London ni Kingunge Ngombale Mwiru.Mzee huyu alipewa cheo kuwa mshauri wa Mkapa kuhusu siasa na mbunge wa kuteuliwa.
Mwalimu alifariki dunia na kuzikwa kwao butiama.
Mwaka mmoja baadaye (2000),mkapa alienda Butiama kuhani katika kaburi la Mwalimu.Yaliyotokea pale ni mauza uza ya ajabu ikiwa ni pamoja na kuvunjika kimaajabu kwa msalaba katika kaburi la Mwalimu!!.Yaliandikwa katika magazeti,lakini yalifichwa na kufunikwa.Toka Musoma,Mkapa alienda Mwanza na pale mnakumbuka palitokea ajali mbaya ya basi lililoacha njia na likawa linafuata gari alilopanda Mkapa.Walikufa watu wengi!
Miezi kadhaa baadaye Mkapa alianza kuugua maradhi yaliyomfanya akae nje ya Tanzania kwa muda wa miezi kadhaa kabla ya kurudi akitembelea magongo!!
Ikumbukwe kwamba baada tu ya Nkapa kwenda ulaya kwa matibabu ,nyumba ya Rais ikulu iliungua.Majanga haya ni matokeo ya aliyoyasimamia Nkapa juu ya kifo cha Mwalimu.
Yapo mengi wanayojua watanzania ila kwa hili tuishie hapa kwanza.
 
Muuliza swali kama umeanza kwa guu baya vile!!! Salam haipunguzi kitu na hata sema tu samani. Kamwe hutokaa ufike hapa sebuleni usimkute mtu. Hebu kwanza rekebisha neno Deth hapo juu liwe Death.

na wewe rekebisha kwanza hapo kwenye red, ni samahani, sio samani. (Samani ni furniture)
 
Believe it or not, kifo cha Mwalimu Nyerere kina mikono ya watu wa ndani na nje ya nchi. Kwanza binafsi alikuwa amekataa asipelekwe kwenye matibabu huko Uingereza. Lakini baadhi ya watu wakubwa kwa sababu zao binafsi wakamlazimisha kwenda. Alikubali kwa shingo upande na kuwaaga baadhi ya wanafamilia yake kwa machozi. Yanayoendelea Libya, Tunisia, Misri Syria na kwingineko yote ni mipango ya mabeberu wale wale waliomuondoa Mwalimu. Bado Iran na Korea ya Kaskazini. Wauaji wanatekeleza mipango yao haramu kwa maslahi yao. Mwalimu angekuwa hai asingeruhusu uporaji uliobatizwa jina la uwekezaji, ndiyo maana muda mfupi baada ya kifo chake; nchi ikaanza kuuzwa kwa juhudi na maarifa. Wale tunaliowaamini na ambao Mwalimu aliwaamini, waligeuka kuwa wasariti kwa ahadi ya vipande vya fedha. Hao ndio mayuda wetu, lakini siku yaja kila kitu kitawekwa wazi. Ole wao siku hiyo itakapofika.
 
JULIUS NYERERE, hakufa kifo cha kawaida.Aliuawa kwa sumu iliyopandikizwa ndani ya mwili wake.Siri hiyo anaijua Daktari wake na baadhi ya maofisa na wasaidizi wake.Alilazimishwa kwenda "kuangaliwa" afya yake na mara baada ya kutoka katika hospitali kwa "checking" hiyo na kuwasili alipofikia Guest wing London alianza kujisikia vibaya na hatimaye alianguka ghafla na kudakwa na mlinzi wake aitwaye Mkanzabi.Ndipo yalipofanyika mawasiliano ya haraka ili kumuwahisha hospitali.cha ajabu wakati anaondoka Tanzania, Mkapa alikuwa akijiandaa kwenda katika mkutano mmoja huko ulaya.alipozidiwa Mwalimu,Mkapa alipitia london kutokea Zurich,lakini kwa mujibu wa madai yake huyu bwana alidai hakuweza kumwona kwa karibu,ila alimwona kwa mbaaali.Hii inadhihirisha wazi kwamba alienda kumsanifu mzee huyo wa miaka 77 akiwa kitandani hoi.Aliporudi Tanzania alikutana na waandishi wa habari na kudai ikulu itakuwa ikitoa taarifa za maendeleo ya Mwalimu huku akisema kwa maneno ya mafumbo kuwa "Mwalimu is recovering slowly"(Dying slowly!).Wakaona mtu wa kumtuma kudhibiti yanayoendelea London ni Kingunge Ngombale Mwiru.Mzee huyu alipewa cheo kuwa mshauri wa Mkapa kuhusu siasa na mbunge wa kuteuliwa.
Mwalimu alifariki dunia na kuzikwa kwao butiama.
Mwaka mmoja baadaye (2000),mkapa alienda Butiama kuhani katika kaburi la Mwalimu.Yaliyotokea pale ni mauza uza ya ajabu ikiwa ni pamoja na kuvunjika kimaajabu kwa msalaba katika kaburi la Mwalimu!!.Yaliandikwa katika magazeti,lakini yalifichwa na kufunikwa.Toka Musoma,Mkapa alienda Mwanza na pale mnakumbuka palitokea ajali mbaya ya basi lililoacha njia na likawa linafuata gari alilopanda Mkapa.Walikufa watu wengi!
Miezi kadhaa baadaye Mkapa alianza kuugua maradhi yaliyomfanya akae nje ya Tanzania kwa muda wa miezi kadhaa kabla ya kurudi akitembelea magongo!!
Ikumbukwe kwamba baada tu ya Nkapa kwenda ulaya kwa matibabu ,nyumba ya Rais ikulu iliungua.Majanga haya ni matokeo ya aliyoyasimamia Nkapa juu ya kifo cha Mwalimu.
Yapo mengi wanayojua watanzania ila kwa hili tuishie hapa kwanza.

Hii story uliotupa hapo wengi wanaijua ila sisi watanzania tulivyo waoga duu tulikaaa kimya me nakumbuka waliposema Mwalimu kafariki mtu wangu wa karibu sana akasema mmmmmmh hapo kuna ulakini na utata mkubwa nika muuliza kwanini akaniambia tuu kuwa mwalimu ni mtu mkubwa sana dunia hii. Nikamuuliza kwanini umesema hivyo akaniambia we bado hujafunguka kifikra ila ipo siku utakuja jua huko mbeleni kama nikiwa hai ntakueleza vyema. kwa bahati mbaya nae huyu mtu aliye niambia Mungu alimpenda zaidi.

Sasa ndio naona haya nami nilibakia na langu moyoni nikiwa naamini kuna mauzauza yalifanyika. Me naamini Mwl.Alikuwa ni Mjamaaa haswa 100% kwa dunia ya sasa esp huku nchiza ulimwengu wa tatu ambao tuna penda kutafuniwa tuuu na viongozi wenyewe tulio nao maslahi mbele khhhaaaaaa kwnn yasitokee mauza uaza ya ajabu.

Mkijiuliza baada tu ya kifo cha Mwl. Nchi ilibadilika kwa kasi na kwa visingizio vingi sana ambavyo fika Mwl alifipinga esp kwenye hotuba ya Mei Mosi 1995 Mbeya, mtu akipata nafasi asikilize hiyo hotuba ndipo mtajua Mwl. Na CCM ndipo walipo anza kutofautiana


 
Natural death, how then? I don't think if it was natural death. Why the by-then government forced him to attend the hospital in UK instead of China where it is believed Mwl. proposed? Where is the Medical Report for Mwl. Nyerere treatment at St. Thomas in the UK? Can the government provide more details.
 
nahisi huu tactic ya kuwapandikiza leukemia mmarekani ndo mwanzilishi coz % kubwa ya viongozi wa latin america wote ni wagonjwa na wengine wameshafariki mfano HUGO CHAVES
 
kansa haiwezi kumchukua mtu haraka kiasi hicho mfano fidel castro hadi leo yupo hugo chaves alikaa nayo si chini ya miaka 10 so huyu mzee we2 anakula pumba saa hvi
 
Back
Top Bottom