Did Mwalimu die a natural death?

mpaka leo kichwa bado kina load na sina jibu kabisa!!!!
 

Duh hapo kuna kitu kimejificha
 
Hii kitu ilinipita. Ubarikiwe mkuu.
 
Pole sana Watanzania, hawa Boys II Men ni watu hatari sana, na sasa mmoja ameshamaliza term yake anamwachia another member of their group!
 

Ee bhana eeh kweli Hakuna neno lililositirika lisilowekwa wazi.
 
Iscariot alikuwa ameshaweka kibindoni millioni 300 za kaburu kwa kuuza NBC.
 

nimeipenda hii mkuu. Inatupa mwangaza wa mambo mengi kuhusu hiki kinachojadiliwa. Mola atawamaliza wote waliohusika.
 




Tamu sana hii kaka. Hakika inabidi iwe hivyo kwa wote wanaohusika.
 
Kama ni kweli hawa boys ii men na mkapa walifanya haya nchi itaelekea vitani
 

Duuuuh.....
 
Wewe acha kufukua kaburi la Baba wetu wa Taifa Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere let him be and let him rest in peace . kwann umekuja na hiyo hoja humu kwanza hujasalimia inaonekana umetumwa na jirani wewe tuzipige lakini hatuzipigi ng'o
 
Ni mda Mrefu natumai umepata jawabu tushirikishe.
 

Hakika ninyi ni waberoya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…