Did you marry the right person? If asked to remarry, would you still choose the same person?

Did you marry the right person? If asked to remarry, would you still choose the same person?

Maisha ya ndoa ni kitendawili kibubu sana ....watu 2 wanalelewa tofauti wanajuana ukubwani then wachangamane ....kuna maridhiano mengi sana hapo na kujishusha...kunifunza tabia mwenzako.....kuvumuliana kuchukuliana......over the time......mnaweza kuendana ....baada hapo sasa akili kichwani uache ulipozoea kuanza upya process the same wanawake wote wako sawa .....watataka akutulize kama mtoto wake
Biblia imeandika Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu, Upendo hautakabali, haujivuni, haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya, haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli, huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote (1 Wakorinto 13: 4-7). .
 
Consequence yake tunapata generation mbovu isiyo na maadali
Biblia imeandika Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu, Upendo hautakabali, haujivuni, haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya, haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli, huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote (1 Wakorinto 13: 4-7). .
 
Biblia imeandika Upendo huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu, Upendo hautakabali, haujivuni, haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya, haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli, huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote (1 Wakorinto 13: 4-7). .
Amen
 
Kwangu Mimi ni tofauti, nilianzisha tu mahusiano kimasihara. Sikuwa serious naye kabisa, kumbe yeye yuko serious. Nikataka kumuacha ila walionizunguka wakanionya "oooh hutokaa upate mwanaume kama huyo". Nikaona isiwe taabu, tukafunga ndoa. Tuna Mtoto mmoja na Sina mpango wa kuzaa mwingine. Tupo tunalisongesha hivyo hivyo maana niliambiwa with time nitampenda ila bado sioni dalili.
Aiseee!! Uliolewa na yule mchaga!!!!
 
Wewe ni wa pekee sana, sio Kwa unavyozoom
Niliweka status aliona m1 the, mimi niliepost binafsi nilikuwa sijaona.
Inabidi uwe makini sana Mkuu..
Kama utaweza weka picha ya kawaida tu.

Macho yamepitiliza hapo kwa sababu Mimi pia hupendelea kumuweka mtu wangu wallpaper Kila mahali,ila naweka picha zake za kawaida,maybe kidevu,ama mkono.

Wewe umetisha[emoji1787]
 
10 years na huyu mtoto wa Mama mkwe kila siku namuombea Mungu ampe maisha marefu sana. Sijutii kuwa nae He is full package yuko kamili gado kwenye kila idara. N.v nampenda sana Baba wawili wangu
 
Inabidi uwe makini sana Mkuu..
Kama utaweza weka picha ya kawaida tu.

Macho yamepitiliza hapo kwa sababu Mimi pia hupendelea kumuweka mtu wangu wallpaper Kila mahali,ila naweka picha zake za kawaida,maybe kidevu,ama mkono.

Wewe umetisha[emoji1787]
Hapana,,, hyo chatting sio yangu
 
Back
Top Bottom