Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Binam niende Us umbea nimuachie nani mi hapahapa vumbini kuna kona nyingi za udaku,majungu,unafiki na ugomvi huko Us ntaupatia wapi umbea kila mtu yupo busy aku!!! Hiyo laana aipate lolowapi nimeridhia

Nilitaka nishangae , nilijua umeacha umbea hvooo? Nikajiuliza huyu binamu yangu uko ulaya kaenda kufanya nini? Maana nakujua vzur huna ndugu wala bibi uko usa, kwanza unaishia kuona picha tu kwa mange kimambi
 
Last edited by a moderator:
Dida naye haachi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zoezi la ufukuaji makaburi linaendelea tunaomba ushirikiano wenu wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…