Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Binam niende Us umbea nimuachie nani mi hapahapa vumbini kuna kona nyingi za udaku,majungu,unafiki na ugomvi huko Us ntaupatia wapi umbea kila mtu yupo busy aku!!! Hiyo laana aipate lolowapi nimeridhia

Nilitaka nishangae , nilijua umeacha umbea hvooo? Nikajiuliza huyu binamu yangu uko ulaya kaenda kufanya nini? Maana nakujua vzur huna ndugu wala bibi uko usa, kwanza unaishia kuona picha tu kwa mange kimambi
 
Last edited by a moderator:
MTANGAZAJI mwenye maneno lukuki kutoka Radio Times FM , Khadija Shaibu ' Dida' amesema kuwa endapo mtalaka wake, Ezden Jumanne akitaka kuoa yeye atakuwa wa kwanza kutoa mchango wa harusi hiyo .

Dida ambaye kwa sasa yupo singo, alisema japokuwa wameacha na Ezden , lakini hana bifu naye kwa sababu anaamini kuwa yuko katika harakati za kutafuta mke bora hivyo haoni shida kumchangia .

"Ninachoamini mimi Ezden bado anasaka mke mwema na hiyo ni nzuri na wala siwezi kuwa na bifu na mtu wake yeyote atakayempata , nitapenda sana. Haya ndiyo maisha yasiyokuwa na chuki yanayotakiwa" alisema Dida.
Dida naye haachi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zoezi la ufukuaji makaburi linaendelea tunaomba ushirikiano wenu wakuu
 
Back
Top Bottom