Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Ata usipomchangia, lazima aoe katoto kapya, we ushazeeka , ngoz kama nguruwe mweny mimba

Yule mkaka nlimuonaga msikitini wakati wa kutoka.....acha Did augulie....vile alivyo na alivyooza na ule Mkorogo kumpata kama Ezden kazi ya ziada...

Sijui alimrogaaa....?
 
Nawe mfyuyyuy,, usinambie hizo habariiii

LEO unamkana? Au kwa kuwa hayupo na dida? Maana ulijua angekuwa nae angekuwa anakuibia pesa anakuhonga, sasa ivi ndo ntolee unajifanya kumkana, vbay hvyo mama msukuma
 
LEO unamkana? Au kwa kuwa hayupo na dida? Maana ulijua angekuwa nae angekuwa anakuibia pesa anakuhonga, sasa ivi ndo ntolee unajifanya kumkana, vbay hvyo mama msukuma

Nimkane namjua?????
 
Yani hiyo shape yake na huo mkorogo kawa kama kitimoto ni bora angekuwa anavaa nguo ndefu maana vifupi anazidi kuchukiza
 
Yule mkaka nlimuonaga msikitini wakati wa kutoka.....acha Did augulie....vile alivyo na alivyooza na ule Mkorogo kumpata kama Ezden kazi ya ziada...

Sijui alimrogaaa....?

Mmh!! Wachawi utawajua tu, aya kulikon saa saba yote hii jaman?
 
Back
Top Bottom