Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Hahaah warumi ujue nilikuwa leba najifungua nimecheka ghafla nikasahau kama naugulia uchungu kwa dkika 5!hapa madr wanadhania naigza au nimepandwa kichaa ..pungza makali ya manenoo hihihh

Ahahahah!!! Eeh binamu yangu na wewe umetisha kwa kweli, umbea hadi labour? Nikupe hongera zako kwa hilooo, kweli umbea upo kwenye damu, na huyo mtoto akizaliwa mtoto akiwa Wa kiume muite warumi umesikiaa?? Pluziiii damu ya umbea iendelee kuwepo Amina ? Umbea forever?
 
Last edited by a moderator:
Ila mie sijaona ubaya wa hiyo video, maana mchukuaji alijua Edzen labda ataonyesha uume wake kwa muda mrefu, matokeo yake umeonekana kiduchuuu.....Ila Kibamia

Binamu umeona mambo??
 
Binamu umeona mambo??

Binamu nimeyaona kwa macho yote matano.
Nilikuwa nampigia paranja ili akanilale, lakini kwa hii video, akhaaaaa!!!!!!.......kibamia ptyuuuuuuuuuu!!!!!!!

Ndo mana 'uso mkavu' alimshindwa, unaanzaje kwanza maana ukikohoa tu, kuleeeeee.
Afu mbona limelegea?
warumi na Evelyn Salt nisaidieni kunidadavulia
 
Last edited by a moderator:
Binamu nimeyaona kwa macho yote matano.
Nilikuwa nampigia paranja ili akanilale, lakini kwa hii video, akhaaaaa!!!!!!.......kibamia ptyuuuuuuuuuu!!!!!!!

Ndo mana 'uso mkavu' alimshindwa, unaanzaje kwanza maana ukikohoa tu, kuleeeeee.
Afu mbona limelegea?
warumi na Evelyn Salt nisaidieni kunidadavulia

Pale haijasimama lakini ujue?
 
Last edited by a moderator:
Jamani si haijadinda pale binamu na wewe? Unakua kama mgen Wa vipara na wewe utaniudhi??

Akha binamu, mashine yenye afya unaijua kabla hata haijadinda mwaya.
Asa kile nini, yaani kikavuuuu kama crips za Coco beach.
Afu kile chumba au stoo?
Maana sijaelewa bado mazingira yake binamu
 
Pale haijasimama lakini ujue?

Weeeeee.....mie mpaka umri huu najua vipara zaidi ya elfu kenda, ikiwa imara tu, bila hata kuomuona samaki ishalia nyau.
Na pale pembeni alikuwa mwanamke, kwanini isisimame?
Au hapandi mtungi mpaka stata?
 
Hivi hakuna namna ya kudownload insta video



Ila jamaa ana manyoya kifuani kama dume la nyani... (uwiiiii ngoja wenye manyoya waje nitashambuliwajeee)

Kuna option za kudowload dear... lakin zile vipisi vipisi ingekua yote ningesha download

Hahaaaaa ana manyoya tena... Dida atakuwa kafurahije sasa... ila nyie Edzen anaonekanaga smart huyo ba kuhamasisha watu tusome vitabu kumbe ye mwenyewe hamna kitu
 
Heheh pale ni stoo aisee


Akha binamu, mashine yenye afya unaijua kabla hata haijadinda mwaya.
Asa kile nini, yaani kikavuuuu kama crips za Coco beach.
Afu kile chumba au stoo?
Maana sijaelewa bado mazingira yake binamu

Ndio.masupastaa wa bongo hao.... wanaishi stoo na inawezekana choo cha kushare
 
Eeh nusu nusu? Wenzio tunajisevia tu kama movie , khaaa nyie jaman umbea raha kwa kweli binamu

Uwiiii binamu ukiongea huku mwenzio udenda wa umbea wanitokaje... ngoja niisake nataka nikione hicho kibamia chake....
 
Akha binamu, mashine yenye afya unaijua kabla hata haijadinda mwaya.
Asa kile nini, yaani kikavuuuu kama crips za Coco beach.
Afu kile chumba au stoo?
Maana sijaelewa bado mazingira yake binamu

Mwenzangu kile chumba hapana binamu, nasikia ni cha moze, jamani na ile michupi ilivyotundikwa juu kama tungiri za uchawi umeziona?? Jaman na star times na feni za promotion umeviona? Yani kile chumba ni shidaaaa kwa kweli, ebu niambe na wewe uliona nini binamu?
 
Back
Top Bottom