Dida: Edzen akioa, nitakuwa wa kwanza kumchangia

Toa ya moyoni binamu tapikaaaaa mie siyajui hvooo? Ndo maana dida kamkimbiaaa, si atumie Viagra jamani? Kile chumba jaman wameshindwa ata kwenda guest za sinza za elfu 20? Khaaaa atapata vichambo Leo mpaka azimie maninaaa

Tatizo nyota hela imekua ngumu kwa marioo wote,binamu hiyo clip iko blog gani
 

Madame b hiyo clip iko blog gani mbna hamsomeki pia nimeona picha y banza inatia huruma sana cjui nini kinamsibu mwana masanja
 

Attachments

  • 1426018412966.jpg
    55.5 KB · Views: 445
Wa2 wana mambo nimeona wamempiga picha le mbululazz anakojoa kwenye mti wakasema jinga sana hili ingekua ucku lingejisaidia haja kubwa hpo,kweli ukicheza n watoto wanakuaibisha

Hahahaaaa tena wamesema ule mnazi aloumwagilia kojo umekaukaaa...hahahaaa
 
Mmbeya mkuu naona wamemrestisha in peace tena dougiemasta 16
 
Jamani hiyo video iwekeni kule ukubwani
 
Dougie master kafungiwaaa da instagram ni nyokooo
 
Duu aisee jamaa kadhalilishwa hadi nime muonea huruma! nina cho jiuliza kwanini watu wanafikia kufanyiana hivi? Huyu jamaa hawezi kuwa sawa tena ni aibu sana walicho mfanyia hakika halafu ni mtangazaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…