Duu aisee jamaa kadhalilishwa hadi nime muonea huruma! nina cho jiuliza kwanini watu wanafikia kufanyiana hivi? Huyu jamaa hawezi kuwa sawa tena ni aibu sana walicho mfanyia hakika halafu ni mtangazaji!
Wa2 wana mambo nimeona wamempiga picha le mbululazz anakojoa kwenye mti wakasema jinga sana hili ingekua ucku lingejisaidia haja kubwa hpo,kweli ukicheza n watoto wanakuaibisha
Duu aisee jamaa kadhalilishwa hadi nime muonea huruma! nina cho jiuliza kwanini watu wanafikia kufanyiana hivi? Huyu jamaa hawezi kuwa sawa tena ni aibu sana walicho mfanyia hakika halafu ni mtangazaji!
Duu aisee jamaa kadhalilishwa hadi nime muonea huruma! nina cho jiuliza kwanini watu wanafikia kufanyiana hivi? Huyu jamaa hawezi kuwa sawa tena ni aibu sana walicho mfanyia hakika halafu ni mtangazaji!
Jamani hiyo video iwekeni kule ukubwani
Haaaaaa hiyo picha mbona ya mda... watu hatari kwa kuchukua matukio aiseee
Huyu moza ndio dem wke?mana kma unamwona m2 kwako mzigo c unautua chini cz mpnz hayalazmishwi c kumpiga m2 picha n kumdhalalisha wengne ni washari unaweza tumiwa wa2 wakala 0714 n ukarekodiwa vilevile
Uko alipo sijui yupoje maskini khaaa
Can u believe kwamba miaka yote hii nilikuwa sijafahamu kwamba huyo Edzen wa Didah ni huyu mshikaji... sasa kuna mahali nimekuta habari few minutes ago kuhusu Edzen na Didah na nikaona pic ya Edzen... nikasema haiwezekani, labda Dida wa Edzen huyu ni mwingine na Edzen wa Dida yule niliyekuwa namfahamu ni mwingine ndo nikalazimika kuufungua huu uzi ambao tangu kufunguliwa kwake nilikuwa naupita tu! mnh! Yaani watu wana mioyo migumu...Edzen nae sijui alimtoa wapi huyu bibi....
Ndo matatizo ya kuanza kuonjeshwa tupu za ma-house girl wakati wakiwa vitoto hadi wanakuwa addicted na waliowazidi umri... huyo Dida mwenyewe kwa mtu kama Edzen ni kama sugar mummy wake kumbe jamaa ndo zake!!!Mdada alikua anafanya ku revenge.... maana Edzen alikua anampa kichapo cha nguvu.. halafu akawa hataki awaambie watu kama ni wapenzi, halafu full kuchepuka na mimama.. then mwisho wa siku anakuja kulala kwa bidada na kula huko.. akiulizwa kichapo ndio akaamua kama mbwai na iwe mbwai..
Yaani kamdhalilisha sana....sio kitu kizuri alichokifanya.Ukiona mtu ni mzigo fukuza.Kwa hili naona kabisa jamaa atafanya revenge.
Mbona naona kama yule Dada ndo kajichafua nae!!
Dada smart nje, huko ndani sasa unadhani getho la mvuta bangi
Ndio mabinti w cku hizi kichwani kumejaa ujinga 2 kma mtu akufai mwambie ukweli,cyo m2 unamdhalalisha n kutafuta uadui ingekua mimi ninge revenge kwa gharama yeyote ile.istoshe huyo kijana atulie n kujenga maisha yke hao watoto w kino hawamfai
Hivi jamamni Ezden kashindwa hata kurent chumba kimoja na sebule jamani,mpaka kwenda kuishi kwa MOZA chumba kimoja wala hakina hadhi,kwani watangazaji wanalipwa ngapi?Aisee mwanaume wa hivi ni first grade mbuluraMdada alikua anafanya ku revenge.... maana Edzen alikua anampa kichapo cha nguvu.. halafu akawa hataki awaambie watu kama ni wapenzi, halafu full kuchepuka na mimama.. then mwisho wa siku anakuja kulala kwa bidada na kula huko.. akiulizwa kichapo ndio akaamua kama mbwai na iwe mbwai..
dk moja,ni pm number yako nikutumie whats upYaan naona kajifungia anatunga sheria.....kwani jamani video inaonesha kwa dk ngapi?me nimeona vipande vipande kwa dougiemasta.
karudi na dougiemasta 19Mmbeya mkuu naona wamemrestisha in peace tena dougiemasta 16