Dida kufunga ndoa tena?

Mkuu, huyo anafanya maonyesho ya ndoa. Ndoa sio kuishi mwezi mmeachana. Akishazeeka ndo atajua madhara ya maonyesho aliyokuwa akifanya. Maisha ya ndoa ni milima na mabonde asitegemee ni tambarare tu.
 
Mkuu, huyo anafanya maonyesho ya ndoa. Ndoa sio kuishi mwezi mmeachana. Akishazeeka ndo atajua madhara ya maonyesho aliyokuwa akifanya. Maisha ya ndoa ni milima na mabonde asitegemee ni tambarare tu.

Heee azeeke Mara ngapi loh
 
Huyu unasema azeeke mara ngapi akiondoa make up unaeza mwamkia shkamoo bibi...
 

Attachments

  • 1414225235341.jpg
    62.6 KB · Views: 479
Frola, nasemea ile hali MTU kawa MTU mzima halafu mambo ya kuandaa birthday hakuna unatakiwa use na MZEE mwenzio mtunzane, halafu huna. Hapo lazima ajute.
 
Hakuna ubaya jamani,si angalau anapata wa kumuoa,Kuna wengine unadanganywa wee Na ndoa hakuna,lakini kwake aah,akiachwa Na mwengine anaingia
 
Wengine wanasema kuoa au kuolewa ni majaliwa sasa huyu ni fasheni ama?
 
Wabongo bhana kwa kujitoa mhanga mim nawakubali
 
Hahahaa!chezea Dida wewe!mwenzenu anasololea ndoa ya nne wangine hata kutambulishwa ukweni ndoto na kupiga kote uchumba miaka minne kweli dunia haina usawa.
 
Hahahaa!chezea Dida wewe!mwenzenu anasololea ndoa ya nne wangine hata kutambulishwa ukweni ndoto na kupiga kote uchumba miaka minne kweli dunia haina usawa.

Kweli...
 
Big up dida!! wengine wanashinda kwa waganga wapate wa kuwaoa,wewe aaah akiondoka wewe unabandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…