Majuzi nilimuona airport alikuwa anamsindikiza jamaa fulani hivi sijui ndo mme mtarajiwa maana kila saa walikuwa wanakumbatiana.Sasa hicho kivazi cha dida mapaja yote nje aisee havutii wala nini sijui ana weupe wa mkorogo?
Duh..huyu kiboko, kaachwa juzi tu leo anataka kuolewa tena...
Ila kuna wanaume wana roho ngumu zao....
Hahahaa!chezea Dida wewe!mwenzenu anasololea ndoa ya nne wangine hata kutambulishwa ukweni ndoto na kupiga kote uchumba miaka minne kweli dunia haina usawa.
Dida ana bahat ya ndoa nyie, yan ndoa tatu na bado anataka kuolewa tena wakat kuna watu wanataman ata wafanyiwe kitchen party ila hawapat hyo bahat, we muache tu mungu atamchoma
Duh...kweli life is not fair...halafu talaka huwa anazidai mwenyewe ujue? Kama ile ya Mchops alimchachafya hadi akampa talaka...
Binamu kama una contact zake nipe nimtafute anipe siri ya mafanikiooo...
Ninazo contact zake, maana kuna mizigo uwa namuagizaga china maana yeye ana experience ya kutosha na biashara uko china, ntakutumia PM mwaego, ila jiandae michambo na kutangazwa kwenye kipindi chake na bi hindu
Eeh makubwa, nyie binamu huyu sio bure, kesho inabid nimpeleke kwenye maombi kwa lwakatare
Ile michambo ntavumiliaa tu, nataka aniambukize nyota binamuu....Ujue kamuambukiza hadi Bi Hindu...yule bibi na ule uzee naye kaolewa siku hizi za karibuni....!
Eeh jaman nyie wanaume, yan had kikongwe wa watu wanataka kumchezesha kiduku? Si laana hiyo, huyo bi hindu nae anayeza si atulie tu ajikande na maji ya moto, kitu gan sasa kuhangaika kama mbwa wa kimasai
Ndo kaolewa hivo binamuu.....naona kampata mzee mwenzie wa kumliwaza...Dida kibokoo....
Mmh huyo dida bas ana kismat cha ndoa, na wanaume wanaomuoa wala hawaangilii background yake mmh nyie sijui ndo mambo ya pesa au ushirikina, maana haiwezekan mwanamke kutwa unaoelewa na kuachika halafu watu bado wanajileta tu
Hahahaa!chezea Dida wewe!mwenzenu anasololea ndoa ya nne wangine hata kutambulishwa ukweni ndoto na kupiga kote uchumba miaka minne kweli dunia haina usawa.
Eeh jaman nyie wanaume, yan had kikongwe wa watu wanataka kumchezesha kiduku? Si laana hiyo, huyo bi hindu nae anayeza si atulie tu ajikande na maji ya moto, kitu gan sasa kuhangaika kama mbwa wa kimasai
Kwani na yeye kaolewa binamu?Hakuwa na mume?
Binamu Kim nana ndo kanipa huo ubuyu mi naona utani bhana aiseeh
Hakuwa na mume...Kaolewa karibuni tuu..wakati anafanya kipindi na Dida, mbona ndoa ilipewa promo tu kwenye kipindi chaoo?