Dida: Sasa ndoa basi, wanaume hawana maana wote ni wale wale

mzigo anagawa kama kawaida hataki kumilikiwa? au hata papuchi hatoi? wenye kujua mtujuze.
 
dah! ndoa 3ingekuwa soka tunaita (hat trick )hajatokea mwekezaji wa maana ndio maana anajishebedua.
 
Wanaume sio walewale tatizo unatafuta masharo hebu tafuta msukuma tololi au mponda kokoto uone kama ndoa yako haijadum

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hahaaa hivi uzuri wa wanawake kipomo chake ni
Makalio
Sura ama kitu gani haswaaa?😱😱😱😱😱

uzuri upo chini ya kitovu ukimkamata mtu hapo basi aondoki
 
jaman niliyosema yanataka kutimia juzi kaahidiwa motokali na mashemeji! maisha haya us ujanja ujanja usitukane mamba kabla hujavuka mto, kujifanya mfalme njozi na inawezekana huyu shujaa anaetaka kumvuta anafanya kusudi ili ale matapishi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…