Dida Shaibu aonesha jeuri ya pesa

Dida Shaibu aonesha jeuri ya pesa

Hongera zake.. Lakini isijekuwa kuchizika kwa Chidbenz na Rayc yeye ndio kutajilika kwake.. Piga vita madawa ya kulevyaa..
 
Dida na isha
 

Attachments

  • 1460988002983.jpg
    1460988002983.jpg
    9.8 KB · Views: 62
huyu ni mjasiriamali mwenye akiri sana ana duka la nguo lkn mjnja sana UAMINIFU na KUJITUMA ndo kumemfikisha hapo alipo
katajilikaa kupiiia hivi
kuna wale weny maduka madogo wenye msingi mdogo eiza hawawezi kwenda china au awajui machimbo ya china yapo vipi au mishe zinaendaje hasa wa mikoani
anachofanya pengne unampa ml 5 umnunulie mzigo amba km ukisema uende kununua kkoo cost yake ni zaidi ya ml 8 sasa yeye ule mzigo anaweza pata kwa ml 3 mpk 4 mpk kukufikia araf alivyo mjanja kuwateka wateja yeye anakusafilishia mpk mlangoni popote tanzania na mari ya uhakika sasa utakuta wewe mzigo wa ml 5 unaingiza mpk ml10 wakati ukisema ununue kkoo lbda utapata faida ml 2 au uuze bei juu

sasa jenga picha akichukua oda za watu 10 tufanye kila mmoja anapata faida kwa lk 8 unafikili ana sh ngap ?
usione wale wadada anaowalusha ktk kipindi chake wale ndo wateja zake wakubwa na ana watu wengi
siyo mbeba NGADA km mnavyokalilishwa
ni mpiganaji na anajua kutumia fulsa
Mie mwandiko wako tu....
 
Back
Top Bottom