TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia


Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.

Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Huwezi kuwa Mtu maarufu kwa Tanzania halafu kwa namna moja au nyingine ukose kulicheza Gitaa zuri na tamu linalokung'utwa vyema na Fundi Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza.
 
View attachment 3115447

Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa Maulid kitenge wanasema aliumwa akalazwa muhimbili ndio mauti yakamkuta

Kwa wasiomjua ni mtangazaji mkongwe, kabla ya umauti wake alikuwa akifanya kazi Wasafi fm
Huwezi kuwa Mtu maarufu kwa Tanzania halafu kwa namna moja au nyingine ukose kulicheza Gitaa zuri na tamu linalokung'utwa vyema na Fundi Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza.
 
Huu ni msiba alafu kuna waja wanaleta mzaha mzaha humu. Sad, RIP
Swali nje ya Mada hivi wale Wenzetu waliokwenda kwa Babu wa Loliondo kipindi kile kunywa Kikombe cha kupona VVU waliamini kuwa wamepona au watapona?

Ngoja nisikilize tena Wimbo wa Kanda Bongoman wa Inde Monie uliomtambulisha vyema kabisa Mpiga Gitaa maarufu na ninayemkubali Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza na niserebuke.
 

Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.

Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Pole sana kwa familia, Ila alikuwa na sauti baya sana, sauti linakoloma kama mlevi!
 
Ndugu zanguni duniani hakuna mkamilifu na hakuna mtilifu....Sisi sote kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine tuna upande wetu mweusi wa maisha

Mapungufu ni maumbile yetu lakini tumuombe mola tuwe na mwisho mwema...

Sisi sote ni wa mwenyezi Mungu na kwakwe tutarejea........
Achana na malaika wa jf hawawezi kukuelewa. Watu wanakera sana. Watu wana chuki sana na roho mbaya, huwezi kuta wanazungumzia upande mzuri wa maisha ya wengine. Wanachoona wao ni kasoro TU.
 
Siyo sawa kuandika vitu kama hivi, mtu anapokufa anakuwa amefunga kitabu chake cha hapa duniani mengine tumuachie mungu, siyo sawa kumsema mtu ambaye hawezi kujitetea, na unajisikiaje kusema mambo kama haya kwa marehemu, hivi angekuwa dada yako unheandika vitu kama hivi? Hii mitandao isotutoe utu wetu ,hata sisi tutakufa
Maisha ni kama hadithi,ulichoishi ndicho kitakachosimuliwa....kama unataka hadithi nzuri tenda mema usitegemee ufariki tuanze kukupa sifa zisizo zako.
 
Nilikuwa najua unakuja na file lake kutoka muhimbili kwa chanzo chako cha uhakika,sasa kumbe na wewe ndio unastuka!nimenyong'onyea
Chanzo kimeniambia eti kilidhani najua, jamani!
Mi niko busy hata nilikuwa sijui kama anaumwa hadi kulazwa!

Ila nini, tumuombee dua njema mwenzetu ameshatangulia. Apumzike kwa amani.
 
Back
Top Bottom