KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mkamilifu ni muumba pekee......sisi viumbe tunatakiwa sana kufanya toba kwani tunateleza sana kimapungufu......na hakuna madhambi mabaya yanayoangamiza watu kama yale madhambi ya sirini....ambayo shahidi ni mola wako.......Thubutu.