KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mkamilifu ni muumba pekee......sisi viumbe tunatakiwa sana kufanya toba kwani tunateleza sana kimapungufu......na hakuna madhambi mabaya yanayoangamiza watu kama yale madhambi ya sirini....ambayo shahidi ni mola wako.......Thubutu.
Huwezi kuwa Mtu maarufu kwa Tanzania halafu kwa namna moja au nyingine ukose kulicheza Gitaa zuri na tamu linalokung'utwa vyema na Fundi Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza.
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Huwezi kuwa Mtu maarufu kwa Tanzania halafu kwa namna moja au nyingine ukose kulicheza Gitaa zuri na tamu linalokung'utwa vyema na Fundi Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza.View attachment 3115447
Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa Maulid kitenge wanasema aliumwa akalazwa muhimbili ndio mauti yakamkuta
Kwa wasiomjua ni mtangazaji mkongwe, kabla ya umauti wake alikuwa akifanya kazi Wasafi fm
Aliyekuwa Mcheza Gitaa zuri la Fundi Dally Kimoko a.k.a Gitare Ezanga Likwanza tokea Kipindi cha akina Amina Chifupa.Ndio Nani huyo nyie Watu Dasalam?
Kufa ni Kufa tu haijalishi ni kwa Kitu gani.Kuugua mbali sana, kuna ajali zinamaliza watu wazima kabisa
Swali nje ya Mada hivi wale Wenzetu waliokwenda kwa Babu wa Loliondo kipindi kile kunywa Kikombe cha kupona VVU waliamini kuwa wamepona au watapona?Huu ni msiba alafu kuna waja wanaleta mzaha mzaha humu. Sad, RIP
Pole sana kwa familia, Ila alikuwa na sauti baya sana, sauti linakoloma kama mlevi!
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Achana na malaika wa jf hawawezi kukuelewa. Watu wanakera sana. Watu wana chuki sana na roho mbaya, huwezi kuta wanazungumzia upande mzuri wa maisha ya wengine. Wanachoona wao ni kasoro TU.Ndugu zanguni duniani hakuna mkamilifu na hakuna mtilifu....Sisi sote kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine tuna upande wetu mweusi wa maisha
Mapungufu ni maumbile yetu lakini tumuombe mola tuwe na mwisho mwema...
Sisi sote ni wa mwenyezi Mungu na kwakwe tutarejea........
Nilikuwa najua unakuja na file lake kutoka muhimbili kwa chanzo chako cha uhakika,sasa kumbe na wewe ndio unastuka!nimenyong'onyeaMungu wangu, pumzika kwa amani Dida!
Maisha ni kama hadithi,ulichoishi ndicho kitakachosimuliwa....kama unataka hadithi nzuri tenda mema usitegemee ufariki tuanze kukupa sifa zisizo zako.Siyo sawa kuandika vitu kama hivi, mtu anapokufa anakuwa amefunga kitabu chake cha hapa duniani mengine tumuachie mungu, siyo sawa kumsema mtu ambaye hawezi kujitetea, na unajisikiaje kusema mambo kama haya kwa marehemu, hivi angekuwa dada yako unheandika vitu kama hivi? Hii mitandao isotutoe utu wetu ,hata sisi tutakufa
Uwe na akiba ya manenoMwendo kaumaliza na uke wake kautendea haki kwa ndoa za kutosha.
Ikitokea waliokuwa waume zake tu waamue wote kwenda, wanatosha kubeba jeneza na kuchimba kaburi.
Apumzike kwa amani.
ππππdah hii comment inazungumza jamboMoyo(presha) wametangaza hivyo
Dida homa ya jijiNdio Nani huyo nyie Watu Dasalam?
Chanzo kimeniambia eti kilidhani najua, jamani!Nilikuwa najua unakuja na file lake kutoka muhimbili kwa chanzo chako cha uhakika,sasa kumbe na wewe ndio unastuka!nimenyong'onyea
Huna akil nawwmaneno yako kama haya yanareflect dini chafu iliyo moyoni mwako. kumbe huwa hawakosei wanaposema dini yako ni ya shetani. mtu mwenye moyo safi hawezi kuongea kama ndugu gaidi unavyoongea hivi.
Ina maana hujasoma alilazwa kwa wiki tatu?au unasoma kichwa cha habari tu unaanza comment?Watu kama hao kina Dida wanatembea wameoza. Husikii anaumwa unasikia kifo tu.
Angelazwa wiki huyo kila mtu angejua
Ameeen...Chanzo kimeniambia eti kilidhani najua, jamani!
Mi niko busy hata nilikuwa sijui kama anaumwa hadi kulazwa!
Ila nini, tumuombee dua njema mwenzetu ameshatangulia. Apumzike kwa amani.