Mavimakavu
Member
- Jan 10, 2011
- 10
- 23
Kama hajui pole yake, ila wengine na wao wanakuwa wanajijua kabisa hali zao.Sasa Ndaro nae anajiweka hapo...
Kuna kipindi Tunda alitokewa na rashes mwili mlizima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hajui pole yake, ila wengine na wao wanakuwa wanajijua kabisa hali zao.Sasa Ndaro nae anajiweka hapo...
Kuna kipindi Tunda alitokewa na rashes mwili mlizima
Nacheka kama mazuri 🔗🔗Na mafioso je? Na Fo Shizo majizo? na Pearl je? Mabeto Je? Na Mke wa didi je? Na Sepenga je? Na Whiozu Je? Na Tunda Je? na Ndaro Je? Na na na na na ninii nini ???? Chain ni ndefu.
Unanivunja mbavu ujue 🤣 eti asante arvAsante ARV.
Duuh! Kazi ipoWasanii wanashare sana ndiyo maana akipata mmoja wanajisambazia na chain inakuwa ndefu yaani kila mmoja anakuwa na chain ya kutosha ,Meja kunta naye anaendeleza chain aliyoitoa kwa Tunda.
YesHivi Elisha Elia alikufa?
Duuh nimesahau...
Sam misago au!?Duuh nimesahau...
Hivi nayule aliekuaga Itv akahamia tbc mrefuu nimesahau jina lake yuko wapi? Sijui sam...
Hapana Sam Mahela kuna kipindi walisema na yy ni mgonjwa...sijamsikia muda mrefuuSam misago au!?
Duuh hapo sijui kwa kweliHapana Sam Mahela kuna kipindi walisema na yy ni mgonjwa...sijamsikia muda mrefuu
Tunda anakula ARV.Bila ARV hao wote wangekuwa washaaga dunia.
Kweli vile, kapotea sana Sam MahelaHapana Sam Mahela kuna kipindi walisema na yy ni mgonjwa...sijamsikia muda mrefuu
Yani muda sanaaaKweli vile, kapotea sana Sam Mahela
Nipo my dear.We dada upo.?Siku nyingi Sana sijaona comment yako.
Mbona ni uuaji na inatishaMkuu, usijidanganye,....nina ushahidi wa kutosha kabisa,...Waathirika wengi wanawapanga madaktari kabla ya kwenda kupima,...daktari anakunjishwa mpunga wake, kisha anatunga majibu...kujipima wenyewe hawataki au wanakataa majibu,...huku kwetu kuna hadi daktari aliyehamishwa kwa sababu ya tuhuma hizo,...
Wasanii wengi washajitoa ufahamu huwezi date na kila mwanaume au kila mwanamke afu jamii inakuona leo umechukua huyu kesho yule , waii chain ndefuNa mafioso je? Na Fo Shizo majizo? na Pearl je? Mabeto Je? Na Mke wa didi je? Na Sepenga je? Na Whiozu Je? Na Tunda Je? na Ndaro Je? Na na na na na ninii nini ???? Chain ni ndefu.
Shoga yule,wanamkula vizuri tu,sijui kapatwa na Nini,Kuna Saloon Moja iko mwenge hapo opposite na Efatha alikua ananyoa hapo kitambo sijamsikiaHapana Sam Mahela kuna kipindi walisema na yy ni mgonjwa...sijamsikia muda mrefuu