Aahahahahahaaa nimecheka, ulishafika Iringa sio...!!???[emoji12]
Sasa Iringa vijijini kuna pombe hiyo kabla hawajaanza kuinywa wanafungwa kamba miguuni juu ya suruali na wakianza kuinywa wanatakiwa kuongea habari za huzuni tuu.
Wakiongea habari za kuchekesha tuu wanaharibu Aahahahhaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hiyo pombe inalegeza nati/loki za namba2, hivyo ukicheka tuu basi unakuwa kanyelamumo...[emoji1][emoji1][emoji1], na ili isimwagike chini ukachafua mazingira ya kilabu cha pombe, ile kamba ya mguuni ndo itashikilia mzigo hadi ufike nyumbani ukaoge au uogeshwe na mkeo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sasa mtu akitaka kukukomoa anakununulia hiyo pombe halafu anakusimulia habari za kuchekesha, ukitaka usijiharibie ukimbie usisikie habari za kuchekesha maana yatatoka bila breki aahahahahahhahaaaaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
My ribs looh...!!
Wee Jabuuu, unaniumiza mbavu zangu.
Halafu mimi siku ya harusi yetu ntavaa kanyelamumo ya kitenge....[emoji4].
Ntakwambia baadae lengo la hiyo attire.
Honey Bunny Nyaniiiiiiiii.....[emoji28][emoji28][emoji28].