TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Yeeey and Faki yuuu.....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

I live this month Oktomba....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Ni mtamuu haswa ukisindikizwa na mchuzi wa Nyani, naukunywa woooteee aaaammmmm nakuufyonza mchuzi woote fyuuufyuuuu....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Halafu uje umevaa attire ya Albert Tomba...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Monkey Pie Ngabuu Jabuuuu.....πŸ˜‹πŸ˜‹

Lacostee Lacosteeee.....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.
We umelewa ulanzi?
 
We umelewa ulanzi?


Aahahahahahaaa nimecheka, ulishafika Iringa sio...!!???😜

Sasa Iringa vijijini kuna pombe hiyo kabla hawajaanza kuinywa wanafungwa kamba miguuni juu ya suruali na wakianza kuinywa wanatakiwa kuongea habari za huzuni tuu.

Wakiongea habari za kuchekesha tuu wanaharibu Aahahahhaaaa 🀣🀣🀣🀣🀣

Yaani hiyo pombe inalegeza nati/loki za namba2, hivyo ukicheka tuu basi unakuwa kanyelamumo...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„, na ili isimwagike chini ukachafua mazingira ya kilabu cha pombe, ile kamba ya mguuni ndo itashikilia mzigo hadi ufike nyumbani ukaoge au uogeshwe na mkeo...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Sasa mtu akitaka kukukomoa anakununulia hiyo pombe halafu anakusimulia habari za kuchekesha, ukitaka usijiharibie ukimbie usisikie habari za kuchekesha maana yatatoka bila breki aahahahahahhahaaaaaa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜.

My ribs looh...!!

Wee Jabuuu, unaniumiza mbavu zangu.

Halafu mimi siku ya harusi yetu ntavaa kanyelamumo ya kitenge....😊.

Ntakwambia baadae lengo la hiyo attire.

Honey Bunny Nyaniiiiiiiii.....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
 
Sidhani, walikuwa hawa cheki afya kabla
Mkuu, usijidanganye,....nina ushahidi wa kutosha kabisa,...Waathirika wengi wanawapanga madaktari kabla ya kwenda kupima,...daktari anakunjishwa mpunga wake, kisha anatunga majibu...kujipima wenyewe hawataki au wanakataa majibu,...huku kwetu kuna hadi daktari aliyehamishwa kwa sababu ya tuhuma hizo,...
 
Nimekaa na wagonjwa tajwa woote tena nyumbani kwangu,
Huyo wa ngwengwe basi alijichelewesha hakua serious na afya yake.....

Bibi yangu na alikua diabetic aliteseka sana mpaka kufariki especially a year prior

Babu zangu wote kisukari kiliwaondoa and one of them alipofuka

My mum is diabetic, na sio rahisi inamsumbua sana maana ana wenge mno kuzingatia masharti

Wa HIV wapo multiple na hakuna aliyeteseka kama hao

Wa cancer staki hata kumzungumzia, alidanganywa kwenye maombi huko akazembea kuanza tiba mapema, mzigo ulivyofika stage 4 kateseka sana mpaka mwishoni hakutaka tena tiba mixer kuuma meno hataki kula anataka afe akapumzike.... it's very sad.

UKIMWI IS PSYCHOLOGICAL, UKIVUKA HICHO KIKOMBE NADHANI UNAISHI KAWAIDA TU
 
Hizi za kila mwezi ni huku kwetu Mkuu wangu, sasa hivi kuna dozi unapewa inakaa miezi 6 na baadae wameambiwa watakuwa wanapata sindano moja kwa mwaka, lakini ni kwa watu waliofanyiwa vipimo na ikaonekana wako vizuri kiafya pamoja na kuwa waathilika.
Pia hata wanaotumia dozi ya kila siku ukitumia vizuri kwa muda mrefu na ikaonekana cd4 zako zinaongezeka kwa kiwango cha juu basi uwezekano wa kusimamishiwa dozi ya siku upo kwa muda ambao madaktari wako wataona unafaa.Nimefanya kazi na mradi uliokuwa una deal na hizo mambo chini ya ufadhiri wa global fund so kuna kitu nilijifunza.
Nimeshangaa sana dunia ya sasa mtu unakufa kwa hiyo kitu watu sasa hivi wanaogopa mafua kuliko ukimwi kwani ukifuata ushauri wa madaktari wako hamna atakayejuwa una maambukizi na kila kitu utafanya kama mwingine yeyote na utaishi vizuri mpaka pale muumba wako atakapo kuchukua kwa niia aliyokupangia thats why usi mujudge mtu kutokana na mwonekano wake.
mkuu,... pamoja na hayo,...hali za watu ni mbaya sana,...huu ugonjwa ni janga kweli kweli,...nimefanya kazi vijiji mbali mbali nchini, hali sio shwari😞😞😞
 
Kifo ni mawaidha
download (2).jpeg
 
Allah amsamehe. Niwaombe Waislam msisambaze dhambi za huyu dada wakati alipokuwa hai mfano picha zake bila hijaab. Wala msidhihirishe dhambi zake na kuzisambaza. Na ninawanasihi Waislam pamoja na kuinasihi nafsi yangu kumcha Allah na kujitathmini matendo yetu na kurekebisha palipoharibika. Turekebishe yaliyopita na tujiandae kwa ajili ya Akhera yetu. Muda wowote tutaondoka kisha tukaulizwe tuliyoyafanya.

Allah atupe mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom