TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Achana na malaika wa jf hawawezi kukuelewa. Watu wanakera sana. Watu wana chuki sana na roho mbaya, huwezi kuta wanazungumzia upande mzuri wa maisha ya wengine. Wanachoona wao ni kasoro TU.
Inashangaza sana lakini pia upande wa pili inahuzunisha sana......
 
Wee sie tunapenda ngono bwana mambo ya nyumba yanatuhusu nini ...kwanza nyumba nyingi sio achievement...achievement kuolewa na wanaume wengi. Itakuwa alikuwa mtamu sana na ana ushawishi kinomaaaa...ukigusa tuu mbususu lazima utangaze ndoa
Sasa watanzania hamna jema,kama ndoa ni achievement mbona wanampopoa sana humu?🥲
 
Watu kama hao kina Dida wanatembea wameoza. Husikii anaumwa unasikia kifo tu.

Angelazwa wiki huyo kila mtu angejua
Alilazwa wiki
Ndugu zanguni duniani hakuna mkamilifu na hakuna mtilifu....Sisi sote kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine tuna upande wetu mweusi wa maisha yetu........

Si vyema kuwananga kwa sifa mbaya wenzetu waliotangulia mbele za haki bali iwe kama ukumbusho kwetu kwani sote safari yetu ni moja na hakuna ajuaye siku wala saa......

Mapungufu ni maumbile yetu lakini tumuombe mola tuwe na mwisho mwema.....kwani umbali uliopo baina ya kifo na mwanadamu ni karibu zaidi ya umbali wa kiatu na unyayo wake......

Tujitahidi kufanya stara kwa binadamu mwenzetu huku tukizidi kumuomba Mungu atupatie mwisho mwema na moyo wa kuyaacha mabaya ya wazi na yale ya sirini........

Hatupaswi kuogopa kifo bali tunapaswa kujiandaa na maisha baada ya kifo.....kwani hofu na mashaka haviondoi siku ya kufa bali matendo yako mema ndivyo vitakuweka Pema.........

Sisi sote ni wa mwenyezi Mungu na

Ndugu zanguni duniani hakuna mkamilifu na hakuna mtilifu....Sisi sote kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine tuna upande wetu mweusi wa maisha yetu........

Si vyema kuwananga kwa sifa mbaya wenzetu waliotangulia mbele za haki bali iwe kama ukumbusho kwetu kwani sote safari yetu ni moja na hakuna ajuaye siku wala saa......

Mapungufu ni maumbile yetu lakini tumuombe mola tuwe na mwisho mwema.....kwani umbali uliopo baina ya kifo na mwanadamu ni karibu zaidi ya umbali wa kiatu na unyayo wake......

Tujitahidi kufanya stara kwa binadamu mwenzetu huku tukizidi kumuomba Mungu atupatie mwisho mwema na moyo wa kuyaacha mabaya ya wazi na yale ya sirini........

Hatupaswi kuogopa kifo bali tunapaswa kujiandaa na maisha baada ya kifo.....kwani hofu na mashaka haviondoi siku ya kufa bali matendo yako mema ndivyo vitakuweka Pema.........

Sisi sote ni wa mwenyezi Mungu na kwakwe tutarejea........
Hakika
 
Alikuwa na mdomo sana na kubadilisha wanaume tena kwa ndoa kila msimu ,Mungu amhifandhi mahara alipojiandalia

USSR


Watu kwa kufukua makaburi 🙌

MUNGU yupo nje ya muda i.e angalia kabda na baada ya muda Ndio maana MTU anapokuwa hai kiukweli hata atende jambo gani baya kamwe MUNGU Hawezi kumuhukumu, ina maana kuna REHEMA 👉akiungama na kutubu husamehewa

Kabda ya muda 👉 ni kabda ya kuzaliwa

Baada ya muda 👉 ni baada ya kufa

MUNGU anaangalia hapo, haangalii NDANI ya muda i.e wakati wa UHAI wa MTU Ndio maana NENO la MUNGU linatuambia baada ya kifo hukumu i.e baada ya Roho kuutoka mwili hu wa mavumbi ni hukumu (baada ya muda wa kuwa hai kuisha)


Na hapa ndipo mwisho wa KIBURI cha UZIMA na jeuri ya binadamu 🙆🏻‍♂️😢
 
Hakumaanisha kuwa hufi bali tusiwe wajivuni na wajeuri bali tuwe wanyenyekevu na watiifu mbele za mwenyezi..

Maisha yetu hapa duniani ni mfano wa mtu anayesafiri aliyepumzika kivulini.......

MUNGU alishatuonya juu ya hilo tangu zamani approximately 2000 years iliyopo


1 Petro 2.11

"Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho"


Binadamu sote ni

Ni wasafiri

ni wapitaji

ni wakimbizi


TAMAA za mwili 👉 ni mahitaji ya mwili ambayo yapo nje au kinyume na mapenzi ya MUNGU. Mfano ngono/Zinaa ni hitaji la mwili hu wa Nyama na DAMU ambalo lipo kinyume na mapenzi ya MUNGU
 
MUNGU alishatuonya juu ya hilo tangu zamani approximately 2000 years iliyopo


1 Petro 2.11

"Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho"


Binadamu sote ni

Ni wasafiri

ni wapitaji

ni wakimbizi


TAMAA za mwili 👉 ni mahitaji ya mwili ambayo yapo nje au kinyume na mapenzi ya MUNGU. Mfano ngono/Zinaa ni hitaji la mwili hu wa Nyama na DAMU ambalo lipo kinyume na mapenzi ya MUNGU
Sisi binadamu ni wenye kusahau hivyo ni wajibu wetu kukumbushana......
 
Naona kumbe ulijitangaza hapa kua wewe sio riziki bila kujijua,au ulijisahau? Angalia comment yako 267# wewe ni punga acha kuvunga sasa hivi,

Mimi nitamsaidia babako kwa mamako.
hivi kuna mapunga wengi kama ninyi mujahidin, si mnasema kila opening kwenye mwili ni sunah, sisi wenzenu ushoga ni dhambi, ninyi ni suna.
 
Back
Top Bottom