TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Sasa huyo akiongeza umakini kidogo tu atakuwa Bora sana
Kuna watoto wamezaliwa nao na Sasa wako makazini na kwenye biashara wanaishi maisha mazuri TU Cha msingi usiache dawa Wala kupitisha mda
Ila sio jambo jepesi kama unavyosema...
Kuna mtoto alizaliwa nao kwa sasa ni kijana mkubwa anasema sio kitu rahisi kuna muda akili inamtuma kuacha...anachoka ila anasema akipima damu ni kama virus vimeisha...
 
Sasa huyo akiongeza umakini kidogo tu atakuwa Bora sana
Kuna watoto wamezaliwa nao na Sasa wako makazini na kwenye biashara wanaishi maisha mazuri TU Cha msingi usiache dawa Wala kupitisha mda
Ugonjwa wowote ukiuchukulia poa unaenda na maji. Hata UTI watu wanaona ni Ugonjwa mdogo ila unaua Figo kama usipotibiwa mapema na kwa ufasaha.
 
Ila sio jambo jepesi kama unavyosema...
Kuna mtoto alizaliwa nao kwa sasa ni kijana mkubwa anasema sio kitu rahisi kuna muda akili inamtuma kuacha...anachoka ila anasema akipima damu ni kama virus vimeisha...
Uko sahihi kabisa na huyo kijana yuko sahihi mno ni kazi inayohitaji 💯kujitolea Cha msingi asiache maana kufanya hivyo ni kujipa death sentence
Ni kweli ukitumia kwa utaratibu hufika sehem na kuona vidudu havipo na Dr wake wakijiridhisha nadhani huwa wanarekebishiwa dozi Kuna namna huwa inarahisisha mambo
 
Hadi nawaza inawezekana hizi ndoa kufa kufa labda waume baadae walikua wanagundua hii kitu....

Make unawaza sa mtu ndoa miezi tu inakufa kisa nini sasa.

Dah yule kijana mwenye body la chuma yule 🤦
Sema kuna watu wanapenda mapenzi mpaka unajiuliza kama wako timamu upstairs 🤔 ila waume zake wote aliwazidi ujanja labda huyo mchopanga.
 
Fungus wa kichwani off course ukweli ni mkubwa sana hasa ukimsikiliza mjomba
Katumia tafsida ila kaweka ukweli vizuri sana
Khaaa kuna watu sio wa kupewa maiki msibani...
Chances za mtu healthy kupata fungus wa kichwani ni ndogo, so inazidi kukazia kwamba alizembea kunywa dawa.

Prof J atakua anashukuru sana Mungu kunusurika akiona habari kama hizi
 
Uko sahihi kabisa na huyo kijana yuko sahihi mno ni kazi inayohitaji 💯kujitolea Cha msingi asiache maana kufanya hivyo ni kujipa death sentence
Ni kweli ukitumia kwa utaratibu hufika sehem na kuona vidudu havipo na Dr wake wakijiridhisha nadhani huwa wanarekebishiwa dozi Kuna namna huwa inarahisisha mambo
Na zitakuja za kila mwezi tena sindano. Zitasaidia watu kuacha dawa. Ila kuna wengine wanaacha na kuugua ila hata hawafi. Kuna wa 2 hao wanakunywa pombe , wanaacha dawa, wanazidiwa baada ya wiki wapo sawa.
Wabishi hao.
 
Back
Top Bottom