uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Ile kesi ya prof ni hatari SA hapo ndio utashangaa katika Ile moment j aka survive halafu huyu alie enda akiwa poa lakini katoka kama tulivyosikiaKhaaa kuna watu sio wa kupewa maiki msibani...
Chances za mtu healthy kupata fungus wa kichwani ni ndogo, so inazidi kukazia kwamba alizembea kunywa dawa.
Prof J atakua anashukuru sana Mungu kunusurika akiona habari kama hizi
Tuishi kwa amani