Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Naona amepanikije huko insta, kumbe yupo huku eeh....da jen hebu tuletee kichambo cha mange kimambo bhana, siku hiyo ntakuwa nasoma kichambo huku nakata uno kama chura wa snura.
Hiki kichambo hata angekuwa hayupo huku lazima angeitafuta JF aje asome.
Tunamtaka Lulu kwanza,Mange baadae.
Na tutakopi na kupesti kutoka kwa kiboko yake Kichwapanzi.
Kichwapanzi oyeeeee!
Kiboko ya Mange,kakonda kwa vichambo vya kichwapanzi anasingizia diet.
 
Heheeeee halafu watu wanamsifu kwa kichambo!
Kichambo gani kile kwa mfano?
Kajibu huku anatetemeeeeeka.
Kama ule ndio uchambaji basi nakupa taji DaJane....

Ila ukweli wako umeupata.
Dida wewe MBAYAAAAAAAAA!
Hapo una hela tu bado unatisha,ungekuwa huna je?
Si tungekutumia kama sanamu la kutisha watoto?
Hahhahaha, yaani pale ndo kaona kachaaaaamba mwenyewe.
Na wapambe wake wako nyuma kama mkia wa nyani.....mxiyuuuuuuu!!!!!
Hata ukinikamia, ukweli nishakwambia Dida, uache kujivalisha pete feki.
Kwanza sijui Issa kakupendea nini, uso umeumuka kama andazi la azam....wavaa misuli wote wa kwa Dosa wamekulala.

Kwanza ugomvi wako na akina Dina na Geah kipindi kile unadhani tulikuwa hatuujui?
Yaani unataka jambo ukiongea wewe utukuzwe kama malkia?
Na walivyokuchamba kwenye kitchen party y Thea ilikuwa ndo ponapona yako, maana ulielekea kupewa kichambo.
Na huo uso sijui ungekuwaje...maana hujaguswa tu umeumuka wenyewe, ungeguswa je?
Ila shoga angu Dida hivi unajijua kama wewe ni Mbaya, yaani mbaya sipati kukwambia, akina Warda wanakuficha tu....walah heri ulivyoujua mkorogo mapema maana ungekuwa kinyago cha andateka na kukimbiza watu mtaani.
Hahahhha.....eti hata aoe wa 100 wewe utakuwa wa 101....kwa ndoa ya kujitolea mahari na kujivalisha pete?

Na nakusubiri kwenye kipindi chako uchambemaana si ndio wajinga wenzio wanapokushika masikio.
Sura ya duara kama chapati ya azam.
Yaani najua unanifahamu ndio maana unajitutumua.

Na waambie wapambe wako walioko humu mie nipo.
Na insta pia niko.
Na nipo kwenye group lako la Whatsapp....ila hutanijua ng'oooo.
Hahahhaha.....umeingia mlango wa kutokea.
Eti baby lala akuote, baby wa kumtoa ndani ya ndoa ya mtu?
Dida we mchawi nambari 1, nakujua utandu kwa makoko.
Na hii ndoa yako ya kuning'iniza kwa uzi, ipo siku.

Mahari ujitolee, Pete ujinunulie, Nyumba ya ukweni ukarabati.
Hapo umeolewa au umejioa?
Asa hilo Apple la ku-download ili iweje?
Sie tunataka uweke sura ya Issa, unapora bwana huku hujajikamilisha.

Ngumbalu we.
Cha kujiweka moyo juu juu kama roho ya teja nini?
Mxyiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
 
Jamanii cuzooo nisamehee si unajua tena mambo ya weekend!! sikuchungulia humu....naomba siku wa ubuyu wa lulu upige simu kabisa nisipopokea niibukie job...hahahah raha ya ubuyu ule ukiwa ma motrooooooooooooooo!! hahahha
Mimi na wewe tena mupenzi?
Msamaha umeshapita hata kabla hujaomba.
Usijareeeee,utakujia popote ulipo ukiwa bado wa motooooo!
😛😛
 
Haligusijwe shoga angu?
Heheheeee umbea unaniwasha hapa.
Snura yuko vizuri,ni hivyo tu kajiharibu na mkorogo.
Mwanaume mstaarabu hawezi chezea ile ngozi iliyooza kwa mkorogo japo ana buno la haja.
Sijui nani alimdanganya masikini,alikuwa mzuri tu na ngozi yake....loooh!

We weka wa Lulu, tag tuje kuujazia nyama na mifupa.
 
Hahhahaha, yaani pale ndo kaona kachaaaaamba mwenyewe.
Na wapambe wake wako nyuma kama mkia wa nyani.....mxiyuuuuuuu!!!!!
Hata ukinikamia, ukweli nishakwambia Dida, uache kujivalisha pete feki.
Kwanza sijui Issa kakupendea nini, uso umeumuka kama andazi la azam....wavaa misuli wote wa kwa Dosa wamekulala.

Kwanza ugomvi wako na akina Dina na Geah kipindi kile unadhani tulikuwa hatuujui?
Yaani unataka jambo ukiongea wewe utukuzwe kama malkia?
Na walivyokuchamba kwenye kitchen party y Thea ilikuwa ndo ponapona yako, maana ulielekea kupewa kichambo.
Na huo uso sijui ungekuwaje...maana hujaguswa tu umeumuka wenyewe, ungeguswa je?
Ila shoga angu Dida hivi unajijua kama wewe ni Mbaya, yaani mbaya sipati kukwambia, akina Warda wanakuficha tu....walah heri ulivyoujua mkorogo mapema maana ungekuwa kinyago cha andateka na kukimbiza watu mtaani.
Hahahhha.....eti hata aoe wa 100 wewe utakuwa wa 101....kwa ndoa ya kujitolea mahari na kujivalisha pete?

Na nakusubiri kwenye kipindi chako uchambemaana si ndio wajinga wenzio wanapokushika masikio.
Sura ya duara kama chapati ya azam.
Yaani najua unanifahamu ndio maana unajitutumua.

Na waambie wapambe wako walioko humu mie nipo.
Na insta pia niko.
Na nipo kwenye group lako la Whatsapp....ila hutanijua ng'oooo.
Hahahhaha.....umeingia mlango wa kutokea.
Eti baby lala akuote, baby wa kumtoa ndani ya ndoa ya mtu?
Dida we mchawi nambari 1, nakujua utandu kwa makoko.
Na hii ndoa yako ya kuning'iniza kwa uzi, ipo siku.

Mahari ujitolee, Pete ujinunulie, Nyumba ya ukweni ukarabati.
Hapo umeolewa au umejioa?
Asa hilo Apple la ku-download ili iweje?
Sie tunataka uweke sura ya Issa, unapora bwana huku hujajikamilisha.

Ngumbalu we.
Cha kujiweka moyo juu juu kama roho ya teja nini?
Mxyiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
Hahahahahaaaa uwiiiiiiiiiiii
Nimecheka mpaka nimegalagala chini!
Dida kapata kiboko yake safari hii.

Masikini mwanamke yule hajui hata raha ya surprise ya pete ya uchumba!Na hata raha ya kuvishwa pete na kuolewa haijui.

Ndio maana ndoa hazidumu!
Sasa kama anajiozesha mwenyewe utamu wa ndoa uko wapi?
Na hivi wanawake wenzangu wa aina ya akina Dida (naona ndio mashabiki wake)
Wanapata wapi raha ya kuishi na mwanaume unayemhudumia kila kitu?
Mwanamke hata surprise ya underwear huijui?
Hongera mwenzetu,una roho ngumu kama jisura lako.
 
We weka wa Lulu, tag tuje kuujazia nyama na mifupa.
Hapana mama,anzisha tu wewe nishakuvulia kofia.
Ukishaanzisha tu naja kujazia na tutaenda sawa kama hapa.
Nafurahia kusoma vichambo vyako zaidi,hadi napata mzuka wa kuandika umbea.
 
Ila kanipaisha....naamini wapambe wake wako humu, lah!, kaperuzi.
Chezea DaJane mie, rais wa wasasambuaji kwa Manjunju!!!
nsalu, nilisema mie, wapambe wake wako humu.
Naona wamemfikishia ujumbe nyakanga wao, mwenye sura chachu kama anakamuliwa jipu.
Hahaaaaaaaa....Dida, hata hujanikera bado.
Huyo baba Abuu kito**I dunia nzima,
afu nasikia ni ngumbalu, ila wote mmekutana.....pwagu na pwaguzi.

Issa, mzee wa kitonga.
Dume zima unalelewa ..
Yaani wewe sijui mchaga wa wapi aisee babaangu.
Mchaga analelewa?
Muulize Idriss yanayomkuta sa hivi, siri hadharani.

Issa, afu nakutuma kwa Dida, mwambie aache kumuuza mtotowamama.
Uchoko bila viwalo na mvuto havinogi.
Da Janeeeeee umenikonga hadi kumoyo. Saluteeeee
 
Heheeeee halafu watu wanamsifu kwa kichambo!
Kichambo gani kile kwa mfano?
Kajibu huku anatetemeeeeeka.
Kama ule ndio uchambaji basi nakupa taji DaJane....

Ila ukweli wako umeupata.
Dida wewe MBAYAAAAAAAAA!
Hapo una hela tu bado unatisha,ungekuwa huna je?
Si tungekutumia kama sanamu la kutisha watoto?
Mi sijaona kichambo zaidi kurusha rusha maneno yaani kapanick vby haa haaa haaaa
 
Hahhahaha, yaani pale ndo kaona kachaaaaamba mwenyewe.
Na wapambe wake wako nyuma kama mkia wa nyani.....mxiyuuuuuuu!!!!!
Hata ukinikamia, ukweli nishakwambia Dida, uache kujivalisha pete feki.
Kwanza sijui Issa kakupendea nini, uso umeumuka kama andazi la azam....wavaa misuli wote wa kwa Dosa wamekulala.

Kwanza ugomvi wako na akina Dina na Geah kipindi kile unadhani tulikuwa hatuujui?
Yaani unataka jambo ukiongea wewe utukuzwe kama malkia?
Na walivyokuchamba kwenye kitchen party y Thea ilikuwa ndo ponapona yako, maana ulielekea kupewa kichambo.
Na huo uso sijui ungekuwaje...maana hujaguswa tu umeumuka wenyewe, ungeguswa je?
Ila shoga angu Dida hivi unajijua kama wewe ni Mbaya, yaani mbaya sipati kukwambia, akina Warda wanakuficha tu....walah heri ulivyoujua mkorogo mapema maana ungekuwa kinyago cha andateka na kukimbiza watu mtaani.
Hahahhha.....eti hata aoe wa 100 wewe utakuwa wa 101....kwa ndoa ya kujitolea mahari na kujivalisha pete?

Na nakusubiri kwenye kipindi chako uchambemaana si ndio wajinga wenzio wanapokushika masikio.
Sura ya duara kama chapati ya azam.
Yaani najua unanifahamu ndio maana unajitutumua.

Na waambie wapambe wako walioko humu mie nipo.
Na insta pia niko.
Na nipo kwenye group lako la Whatsapp....ila hutanijua ng'oooo.
Hahahhaha.....umeingia mlango wa kutokea.
Eti baby lala akuote, baby wa kumtoa ndani ya ndoa ya mtu?
Dida we mchawi nambari 1, nakujua utandu kwa makoko.
Na hii ndoa yako ya kuning'iniza kwa uzi, ipo siku.

Mahari ujitolee, Pete ujinunulie, Nyumba ya ukweni ukarabati.
Hapo umeolewa au umejioa?
Asa hilo Apple la ku-download ili iweje?
Sie tunataka uweke sura ya Issa, unapora bwana huku hujajikamilisha.

Ngumbalu we.
Cha kujiweka moyo juu juu kama roho ya teja nini?
Mxyiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
Ama kweli wewe ni fundi wa hii tasnia, na unaweza kuipatia copy right wajanja wasije wakaitumia kujinufaisha. Heko saaana.
 
Mkuu ni vema mkampa nafasi ili apange vitu na vipangike. Msiwe na haraka ile ni sanaa na sio jambo la kukurupuka. Tuvute subira ili madikodiko yaive sawasawa!
Hahahhaah.....jamani watu kwa kupenda ubuyu siwawezi.
Chaaaaaa!!!!!
Eti madikodiko....wewe!!!!
 
Mkuu ni vema mkampa nafasi ili apange vitu na vipangike. Msiwe na haraka ile ni sanaa na sio jambo la kukurupuka. Tuvute subira ili madikodiko yaive sawasawa!
Hahahaha,apana chezea madikodiko....wacha tusubiri mautamu
 
Back
Top Bottom