Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Tena shoga nina file zima la kisa cha huyo Seki na kifo chake.
Hilo nitalitoa exclusively siku ya kichambo chake.
Mtabaki midomo wazi,mimi nilipoambiwa nililia kutwa nzima.
Mtoto mbaya yule?
Uwiiii natamani hyo cku ifike mapema nahamu ya kujua huo ubuyu
 
image.png
 
Tena shoga nina file zima la kisa cha huyo Seki na kifo chake.
Hilo nitalitoa exclusively siku ya kichambo chake.
Mtabaki midomo wazi,mimi nilipoambiwa nililia kutwa nzima.
Mtoto mbaya yule?
Kitoto kinajiona kile afu kujitia kinajua kila kitu, jinsi kinavyoumiza wanawake wenzie kinanikera mnooo yani kile kinatakiwa kipate mchambo heavy hadi kirudishe mihirizi kwa huyo fundi wake mscheeew
Yani kinajifanya kipo juu kama muashok wakati uchangu kimeanzia nursery mfyuuu na hizo K nazani zitakuaga zishapoteza asili yake zimebaki ka kikopo cha rays waiiiii
 
Tena shoga nina file zima la kisa cha huyo Seki na kifo chake.
Hilo nitalitoa exclusively siku ya kichambo chake.
Mtabaki midomo wazi,mimi nilipoambiwa nililia kutwa nzima.
Mtoto mbaya yule?
Duu jamani!!!! Hebu zamu yake ifike haraka tushughulike na hilo faili. Mweee mtoto mdogo lkn mambo yake mazito kama kontena .
 
Hahahahahah......limemchomaaaaaa.
Kumbe kapata salamu eeeee!!!!
Safi sana
Limechoma haswa. Anavyomsifia huyo mwanaume na Edzen alimsifia hivyo hivyo lkn ndoa haikumaliza hata mwaka. Let us wait and see.
 
Kitoto kinajiona kile afu kujitia kinajua kila kitu, jinsi kinavyoumiza wanawake wenzie kinanikera mnooo yani kile kinatakiwa kipate mchambo heavy hadi kirudishe mihirizi kwa huyo fundi wake mscheeew
Yani kinajifanya kipo juu kama muashok wakati uchangu kimeanzia nursery mfyuuu na hizo K nazani zitakuaga zishapoteza asili yake zimebaki ka kikopo cha rays waiiiii
Umri wake na mambo anayofanya tofauti kbssssss.
 
Huyu kama anatokea Moshi basi atakuwa ni jamii ya wale wa kuleee Rombo!

Wee watake radhi warombo, mrombo gani wa kumkoj**sha huyu mwanamke anaebadili mwanaume kila kukicha? Kina mama clareee wenyewe wanalilia hawapati, aje ampe mzaramo Dida?! hapana huyu issa lazima ni wa bagammoyo huko huko.
 
Kesho atakavyojidai kuchamba kwenye mcharazo ila ujumbe kaupata na umemchoma hadi kumoyo. Usiku wake na Issa leo utakuwa mchungu na sebene sijui kama litachezwa.
 
Back
Top Bottom